johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Labda mnikumbushe
Leo Wakuu wote wa Mihimili ya DOLA wameshuhudia Askofu Dr Malasusa akiwekwa kitini kama Mkuu wa Kanisa la KKKT
Rais wa JMT mh Dr Samia alikuwa mgeni rasmi
Spika wa Bunge Dr Tulia alikuwepo
Jaji Mkuu Prof Juma alikuwepo
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi alikuwepo
Wenyeviti wa Vyama vya Siasa karibia wote waliokuwepo
Askofu Malasusa ameweka rekodi ya aina yake.
Mungu wa Mbinguni mbariki askofu Dr Malasusa, amen!
Leo Wakuu wote wa Mihimili ya DOLA wameshuhudia Askofu Dr Malasusa akiwekwa kitini kama Mkuu wa Kanisa la KKKT
Rais wa JMT mh Dr Samia alikuwa mgeni rasmi
Spika wa Bunge Dr Tulia alikuwepo
Jaji Mkuu Prof Juma alikuwepo
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi alikuwepo
Wenyeviti wa Vyama vya Siasa karibia wote waliokuwepo
Askofu Malasusa ameweka rekodi ya aina yake.
Mungu wa Mbinguni mbariki askofu Dr Malasusa, amen!