Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

Inafikirisha: Miujiza ya Mchungaji Mwamposa

huu uzi nimegundua umeanzishwa kwasababu flani. economist na zerominus10 wanalengo lao. nje ya miujiza mnabifu lenu na mwamposa.
 
Yale mafuta hadi machangudoa wanayatumia kwenye kudanga, wanadai yanawapa kismati. Kuna muujiza wa Mungu kweli hapo au genge la waliovurugwa na maisha?

Sent from my Infinix X697 using JamiiForums mobile app
Mbona mnaoteseka na kuumia ni nyie wakereketwa ambao hamjatoa hata mia yenu kwenda pale
 
Mwanga tu kama wanga wengine japo nna miliki maji na mafuta hapa ila simuhusishi yesu namtambua kama mganga mwamposa
 
Hata huyu Mwamposa atapita na tutamsahau.
Kazindua hema leo
IMG-20250705-WA0045.jpg
 
Father Anigu ndie akieleza kuwa kanisa katoliki kuamini kuwa huu ni muujiza kuwa ili ukubalike na kanisa katoliki lazima kwanza uwe mkubwa sana pili uwe kisayansi kuwa hauna solution au kikawaida!! YouTube ziko clip zake akueleza sifa za muujiza kukubalika na kanisa katoliki kuwa kweli huu muujiza

Nilichogundua Father Amigu na kanisa katoliki wanadharau nguvu ya sala hasa ya Baba yetu uliye mbinguni kuwa utupe riziki yetu ya kila siku

Kwa hiyo kwa nini mtu usali hiyo sala wanati una kazi iwe upadri,biashara au kazi jwenye Rozali nk unasali iweje wakati shamba unalo ,kazi unayo ya upadri,uaskofu, au usista au uburuda au upapa,au kazi au biashara unapata chako

Sala ya Baba yetu uliye mbinguni utupe riziki nk unasali ya nini wakati sources za kupata riziki na mkate wa kila siku au chakula unazo kwa nini uhangaike na sala ya Baba yetu uliye mbinguni eti ohhh atupe riziki au mkate au chakula cha kila siku Katoliki fulani hiyo saka kwenye Rozali na ibada zenu

Kama katoliki hawatapeli waumini ni kitu gani hicho? Katoliki basi wafute sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kwenye Rozali nk
Waiondoe
Mbona povu nene
 
Kama una imani jaribu yale maji, utaacha pombe bila kupenda.
 
Back
Top Bottom