Inabidi muwe mnajiongeza hasa nyie wanaume

Inabidi muwe mnajiongeza hasa nyie wanaume

Umeona eh! Angesomgelea tu na kumpa denda na huku akicheza na mb[emoji87][emoji87] mambo yangejipa lakini kaondoka na UGWADU wake mbio kulalama JF [emoji12][emoji12][emoji12]
Ha haa kazi kweli
 
Unakuwa kwenye mahusiano na umpendae kwa muda,unahisi upweke

Unampigia sim kwenda kumtembelea kwake,anajitahidi kufanya usafi,na kukuandalia chakula kitam#Hapo nakupa hongera sana

Baada ya kula na kupiga stories, unaanza kuleta seasons,movies,unaanza kudai uangalie season sijui ulifikia namba ngap,eti unapenda season gani my,eti ungependa tuangalie movie gani,fyuuuuuuu.........kwani kwangu hakuna movie,hakuna seasons

Watu wengine bwana
Daah,,nimejikuta nakupenda gafla,wanawake wote wangekuwa na mawazo kama yako,hakika tungekuwa tunawaamkia kila asbuhi
 
Unakuwa kwenye mahusiano na umpendae kwa muda,unahisi upweke

Unampigia sim kwenda kumtembelea kwake,anajitahidi kufanya usafi,na kukuandalia chakula kitam#Hapo nakupa hongera sana

Baada ya kula na kupiga stories, unaanza kuleta seasons,movies,unaanza kudai uangalie season sijui ulifikia namba ngap,eti unapenda season gani my,eti ungependa tuangalie movie gani,fyuuuuuuu.........kwani kwangu hakuna movie,hakuna seasons

Watu wengine bwana
Usitulaumu sababu ya huyo aliyeshindwa kukukuna
 
Unakuwa kwenye mahusiano na umpendae kwa muda,unahisi upweke

Unampigia sim kwenda kumtembelea kwake,anajitahidi kufanya usafi,na kukuandalia chakula kitam#Hapo nakupa hongera sana

Baada ya kula na kupiga stories, unaanza kuleta seasons,movies,unaanza kudai uangalie season sijui ulifikia namba ngap,eti unapenda season gani my,eti ungependa tuangalie movie gani,fyuuuuuuu.........kwani kwangu hakuna movie,hakuna seasons

Watu wengine bwana
Ukiona hivyo ujue huyo ulishamzingua,akajua mambo ya kikubwa
sio hobi yako,akaona atafute hobi yako mwende sawa.
kwanini wewe usiwe wazi kumwambia ukitakacho?
 
Labda alidhani bado upo kwenye mfungo, unachotakiwa kufanya vua nguo zote halafu mwambie aweke hizo season zake kama mtaziangalia katika hali hiyo peleka mtu wako hospital.
Umenikumbusha back days when I was too young nilikuwa na det kibint frani hivi, siku moja nilikwenda hom kwao kumchek akanikaribisha ndani tukawa tunapata chai ya jioni, sasa katika mazungumzo nikamchomekea naitaji kumuangalia mwili wote,, daaaah alivua nguo zote afu ni sebleni kwao...unajua kilichotokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom