Unakuwa kwenye mahusiano na umpendae kwa muda,unahisi upweke
Unampigia sim kwenda kumtembelea kwake,anajitahidi kufanya usafi,na kukuandalia chakula kitam#Hapo nakupa hongera sana
Baada ya kula na kupiga stories, unaanza kuleta seasons,movies,unaanza kudai uangalie season sijui ulifikia namba ngap,eti unapenda season gani my,eti ungependa tuangalie movie gani,fyuuuuuuu.........kwani kwangu hakuna movie,hakuna seasons
Watu wengine bwana
Nahisi kuna kitu kinamis kwakoNipo kawaida my dear
joanah kama kawa!Ulitaka akufanyaje?
Hahaha big announcement ya mtoto fei na migomba sijui hata inafanyika liniHahaaa. Ndio Mtani 🙈🙈 maana kama ataka na mwanaume hana habari hiyo ndio inakuwa dawa kuliko kuanza kulalama tu wakati alipaswa ajiongeze mwenyewe
Tumewapumzisha kidogo Mtani kwani nasikia ile Spidi iliwapandisha presha mnoo. 😀😀😀
HahaahaahhahahahaSa na wewe si umwambie unachotaka jamani!! Unakwama wapi? [emoji3]
Come to my pm pleaseHahahahah:Jaman dia
Nakwambia kazi tunayo.Dah wanawake wanatak mgeged wenyewe yaanii....tushindwe tuu kwa uzembee wetu alafu wapo watu dunia hii wanaweka kipaumbele makaratasi baadala ya papuchi
Wewe unaweza sema?Sa na wewe si umwambie unachotaka jamani!! Unakwama wapi? [emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huyu vipi jamaniHahaahaahhahahaha
Utamwitaje hanithi kama kajiapiza kwa mungu wake hafanyi mpaka aoweMtumie tu sms babe am coming for it tonight...
Asipokufanya basi ni hanithii
Ishara tu zinatosha si lazima kufungua mdomo. Mara nyingine huwa nasema...inategemeaWewe unaweza sema?