Inabidi muwe mnajiongeza hasa nyie wanaume

Inabidi muwe mnajiongeza hasa nyie wanaume

Wewe pia utakuwa na shida. Umekaa kikauzu sana mpaka mtu anakuogopa.
Unasogea unakaa karibu nae. Ikiwezeka na kichwa unamuegemea . Inatakiwa unamtega mtu anategeka, mara umemlembulia. Unasema unajisikia joto unapunguza nguo kidogo unajipiga hata kanga kama umebeba.
Mmmh,kuna ugumu fulani, coz ni first time
 
Na hiyo ndio shida yenu. Ikiwa first time sioni tatizo na mtu umempenda. Acha kukaa kikauzu sana.
Ulivoenda ulikuwa umevaaje. Sio mtu umejipigilia mijinsi.
Mmmh,kuna ugumu fulani, coz ni first time
 
Haya mambo huwa yanaongozwa kwa hisia na vitendo;ulichotakiwa kufanya baada ya kufika ni kumuwekea mitego...kumvua shati kushika hapa na pale,kisses za kutosha...mambo mengine yangeendelea systematically.
 
Pole sana. Ila uwazi nao ni jambo zuri pia kwenye mahusiano au ukawa na ule wanauita uchokozi ambapo kwa mwenye akili atajua tu ulichokifuata.

Japo saa nyingine Me hawaeleweki aweza kuona Muhuni pia kwa kumwambia unahitaji.
hahaha mtani apo kwenye uchokozi sasa.

hili week kimya mmewachukua kina bigirimana wengine
 
Hili kama vile tangazo hivi?
Unakuwa kwenye mahusiano na umpendae kwa muda,unahisi upweke

Unampigia sim kwenda kumtembelea kwake,anajitahidi kufanya usafi,na kukuandalia chakula kitam#Hapo nakupa hongera sana

Baada ya kula na kupiga stories, unaanza kuleta seasons,movies,unaanza kudai uangalie season sijui ulifikia namba ngap,eti unapenda season gani my,eti ungependa tuangalie movie gani,fyuuuuuuu.........kwani kwangu hakuna movie,hakuna seasons

Watu wengine bwana
 
hahaha mtani apo kwenye uchokozi sasa.
Hahaaa. Ndio Mtani 🙈🙈 maana kama ataka na mwanaume hana habari hiyo ndio inakuwa dawa kuliko kuanza kulalama tu wakati alipaswa ajiongeze mwenyewe
hili week kimya mmewachukua kina bigirimana wengine
Tumewapumzisha kidogo Mtani kwani nasikia ile Spidi iliwapandisha presha mnoo. 😀😀😀
 
Labda alidhani bado upo kwenye mfungo, unachotakiwa kufanya vua nguo zote halafu mwambie aweke hizo season zake kama mtaziangalia katika hali hiyo peleka mtu wako hospital.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda alidhani bado upo kwenye mfungo, unachotakiwa kufanya vua nguo zote halafu mwambie aweke hizo season zake kama mtaziamgalia katika hali hiyo peleka mtu wako hospital.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom