Imetosha Kikwete Kusemwa, Mlitaka afanyeje?

This is too subjective brother, it does not nullify the claim that JK ni msaliti!


Weka data

Suala la kwenda kumuona akiwa anaumwa, hata mimi sikwenda, je ni usaliti?

Kwani ni sheria kumuona EDO ?

Weka data tuache hisia

Kosa la JK ni lipi kwa EDO , usaliti ni upi

Au ndio
Kikombe cha babu kuwa kila mtu anakunywa bila ya kuwa na why and how
Kwani we ni nani shekhe?
 
Katiba ni mchakato

Ila unao uhuru wa kuidai
Memorization has hindered you to achieve a deep understanding and critical thinking skills of what you have learned in school. As such you always focuse on repetition rather than comprehension. Sioni ajabu ukisema ni mchakato kwa sababu unarudia tu ulichosikia. Kwa taarifa yako hata kula ni mchakato...
 
Hayo ni maneno ya siasa

Hakuna ushikaji wowote kati ya Edo na JK

NDIO nakupa siri

Rafiki wa kweli ule wa kiushikaji kabisa wa long time wa JK ni Ditopile tu

Huyo ndio rafiki wa kweli waJK
Acha uongo we jamaa. Hakuna urafiki wowote wa Ditopile na Kikwete.

Kama hujui Dito na Mwinyi baba ndio marafikinkufa mtu na hata familia zao ziko karibu sana
 
So what ? Ni lazima kufanya hivo ?they were never friends , ni watu wanaofahamiana tu .

Sio lazima kumjulia hali, kuna sheria inasema ni lazima aende?

Msilazimishe vitu ambavyo HAVIPO
Lowassa was not a saint , ni mtu kama watu wengine
They were never Friends.....Usijifanye ulikwa unawajua hawa Watu zaidi ya wengine....
 
Lowasa aliwahi kutoka hadharani kulalamika kwamba JK ndiye alimsaliti?

Au ni mawazo yako tu yanakupeleka na kukuendesha? Maana hakuna mahali Lowasa alimtaja JK kwa kumsababishia baya lolote.
JK anasema kumsaliti Lowasa pale walipokubaliana kuwa EL ajivue gamba alafu JK akatae uke uamuzi wa EL. Barua ya kutema bungo ilivyoandikwa mkwere Akala Pini. Hapo ndipo mambo yalipo haribika.
 
JK alijua hakika kuwa EL akiwa rais, bas kipindi cha miaka 10 cha uongozi wa EL kungefanyika makubwa sana ambayo yeye hata kama angekaa miaka 30 asingeweza kuyafanya.

JK alimjua EL kuwa ni mtu asiyeendekeza ufanyaji kazi kwa mazoea na ushikaji wa kizembe kama wake.
EL alikuwa ni mtu anayejali zaidi "weredi" kuliko ushikaji kama huyo mswahili.
Elimu.
Elimu.
Elimu.

JK hakuwa tayari azidiwe umaarufu (kama rais mstaafu) na EL akiwa rais mstaafu.
JK aliamini kabisa kuwa EL akiwa rais basi angefanya makubwa kiasi kwamba yeye angeonekana ni rais wa hovyo kupata kutokea Tanzania.
Nakwambia hivi, last say ya Lowassa asiwe rais ilikuwa mikononi mwa Kikwete. WanaCCM walishaamua Lowassa awe mgombea wao na watanzania walishaamua Lowassa awe rais wao, lakini JK akasema never, never, never forever.
 
Hupo very right Mwamba.....kama LOWASA angekua RC ni lazima tu angekua rais kabla ya JPM.....Mfumo wetu ni Bakwt na RC, ata iwe vipi.....na 2015 ilikua ni ZAMU ya RC....kumbuka ata Samia alivyochukua Uraisi....ilikua ni lazima makamu wake atoke RC....
Aisee! Hata nilikuwa cjui hivi kwanini iwe hivyo tupe madini mkuu
 
Wamwache Mkwere wetu. Alifanya kazi iliyotukuka. Huyo rafiki yake hakufaa kuwa Rais wa nchi yetu kabisa.
 
Wapi? Weka data kaka achana na hizo street words.

Kabla majina ya kwenda halmashauri kupigiwa kura, yalichakatwa kwanza ndani na inner circle , inner circle hakai mtu 1

Ni kamati
: kati ya hayo yaliyorudi ni 5 . Lowasa na wengine waliachwa , mbona hao waliokatwa pia haijawa a concern?

JK hana uwezo wa kuchagua ni nani awe rais
Marehemu benad angekuwa rais

Na hao unaosema walimtaka EDO ni mamluki ambao walishakula 10% ; ndani yao pia walikuwepo watu wa uongo
Mbona msiba wa magufuli alisema alikuwa uwezo kuzuia magufuli asiwe rais? Kwa hiyo alimpigania hakuwa na ubaya na magu Fuatilia speech yake
 
JK kosa lake ni moja tuu
Kukata jina la Lowasa basi
Hakuwa na sababu za msingi za kumkata Lowasa wala Lowasa hakuitaji favour ku campaign urais wake ndio mana alishinda hata alipokuwa chadema lakini wakapindua matokeo

Ndio maana JPM alimuheshimu sana Lowasa sababu alijua kuwa Lowasa alishinda uchaguzi
 
Back
Top Bottom