pmwasyoke
Platinum Member
- May 27, 2010
- 4,885
- 3,570
WAKENYA wasiingilie mambo yetu ya ndan kama wanaona BABU kwao ni kikwazo wafunge border zao ili watu wao wasije kunywa dawa.
Lakini kama umesoma maoni wakenya wengi hawakubaliani kabisa na huyo waziri wao wa afya. Wanamlaani kwa kauli yake kuhusu huyo babu.