Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 448
viongozi wetu wagonjwa.
Hali ya huduma ya matibabu hapa bongo mbovu.
sasa wategemea nini hapo
Hali ya huduma ya matibabu hapa bongo mbovu.
sasa wategemea nini hapo
viongozi wetu wagonjwa.
Hali ya huduma ya matibabu hapo bongo mbovu.
sasa wategemea nini hapo
Kukamatwa asikamatwe ila awekwe kwenye group moja na waganga wa kienyeji.
Mshindwe na mlegee na imani zenu mbofu mbofu, babu anaponya kweli kwa DAMU YA YESU!!
...unadhani vipofu huongozana vema katika njia yao??? nashindwa sana kuamini kwamba watanzania tunashindwa kutofautisha muujiza na tiba ya asli!!!mganga wa kienyeji na dawa moja tuu? Kama watu wangekuwa hawaponi no one would have go there...
Fununu zinaanza kuzagaa kuwa babu anawapotosha watu, je hii ni kweli? nionavyo mimi babu hahusiki kwa lolote hajamuita mtu Loliondo wala hajajitangaza isipokuwa vyombo vya habari ndio vimepotosha umma.Nawasilisha!!
...unadhani vipofu huongozana vema katika njia yao??? nashindwa sana kuamini kwamba watanzania tunashindwa kutofautisha muujiza na tiba ya asli!!!
Hao wanaodai kupona wameanza kurudi hospitali kwa vishindo!
Sikatai watu kwenda kwa babu... ila naogopa matokeo yaliyo kinyume na matarajio ya walioenda!
Swali kama ni dawa kwanini uwezi kumchukulia mtu aliyembali.Lazima uinywe pale paleSiku zote anayependwa na wengi upendwa na mungu pia. we kaa na iman yako haba hata Nuhu wakat anachonga SAFINA watu wenye upovu wa iman kama wewe walikuwepo pia. BAB
Swali kama ni dawa kwanini uwezi kumchukulia mtu aliyembali.Lazima uinywe pale pale
Ni nabii gani aliyewai kumponya mtu akiwa mbali naye?
Yesu kristo je yupo.?Ni nabii gani aliyewai kumponya mtu akiwa mbali naye?
Hiyo ni mitazo wa kuwa na watu kukusanyika sehemu moja,Dawa ni dawa aina maana ukivuka maeneo alipo mwombezi huponi.?hahaaaaaaaaaaaaaaaa hata kakobe anawaombea wakienda kwake hataki kuwaombea wakiwa mbali