Imetokea loliondo

Imetokea loliondo

viongozi wetu wagonjwa.
Hali ya huduma ya matibabu hapa bongo mbovu.
sasa wategemea nini hapo
 
Kukamatwa asikamatwe ila awekwe kwenye group moja na waganga wa kienyeji.
 
Mshindwe na mlegee na imani zenu mbofu mbofu, babu anaponya kweli kwa DAMU YA YESU!!
 
WAKENYA wasiingilie mambo yetu ya ndan kama wanaona BABU kwao ni kikwazo wafunge border zao ili watu wao wasije kunywa dawa.
 
mganga wa kienyeji na dawa moja tuu? Kama watu wangekuwa hawaponi no one would have go there...
...unadhani vipofu huongozana vema katika njia yao??? nashindwa sana kuamini kwamba watanzania tunashindwa kutofautisha muujiza na tiba ya asli!!!

Hao wanaodai kupona wameanza kurudi hospitali kwa vishindo!
Sikatai watu kwenda kwa babu... ila naogopa matokeo yaliyo kinyume na matarajio ya walioenda!
 
Fununu zinaanza kuzagaa kuwa babu anawapotosha watu, je hii ni kweli? nionavyo mimi babu hahusiki kwa lolote hajamuita mtu Loliondo wala hajajitangaza isipokuwa vyombo vya habari ndio vimepotosha umma.Nawasilisha!!

WAJINGA NDIO WALIWAO!
Nilisema awali ninyi subirini tu ZIGO LA BABU YUKO LITAKAEMUANGUKIA!!!
 
...unadhani vipofu huongozana vema katika njia yao??? nashindwa sana kuamini kwamba watanzania tunashindwa kutofautisha muujiza na tiba ya asli!!!

Hao wanaodai kupona wameanza kurudi hospitali kwa vishindo!
Sikatai watu kwenda kwa babu... ila naogopa matokeo yaliyo kinyume na matarajio ya walioenda!

Siku zote anayependwa na wengi upendwa na mungu pia. we kaa na iman yako haba hata Nuhu wakat anachonga SAFINA watu wenye upovu wa iman kama wewe walikuwepo pia. BAB
 
Siku zote anayependwa na wengi upendwa na mungu pia. we kaa na iman yako haba hata Nuhu wakat anachonga SAFINA watu wenye upovu wa iman kama wewe walikuwepo pia. BAB
Swali kama ni dawa kwanini uwezi kumchukulia mtu aliyembali.Lazima uinywe pale pale
 
kwa style hii ya babu wengi wenye imani dhaifu mtegoni...Mola niepushe na vitimbi vya huyu mzee na vingine vifananavyo na hivi!
 
Hali ya TZ ni tete kama alivyonena Mch. MTIKILA HII NCHI ITAKUWA MASKINI TUU KWA SABABU VIONGOZI WAKE WOTE NI WAGONJWA
HIVYO HUTUMIA MUDA MWINGI KUJITIBU BADALA YA KUFANYA KAZI ZAO KWA MAENDELEO YA NCHI.:juggle:
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaa hata kakobe anawaombea wakienda kwake hataki kuwaombea wakiwa mbali
Hiyo ni mitazo wa kuwa na watu kukusanyika sehemu moja,Dawa ni dawa aina maana ukivuka maeneo alipo mwombezi huponi.?
Musa nabii aliwaokoa wanaisrael toka misri kwani hakutoa ukombozi humo humo misri,.?
 
ukiwa gizani hata post hii huwezi kuiona..kwakweli siikubali tiba ya babu kisayansi wala kiimani!
 
Back
Top Bottom