Imetokea loliondo

Imetokea loliondo

Hee, hujaisoma vizuri hiyo post? Unataka wafunge mpaka halafu watoto wetu wakose Blue Band kwa mkate na KIWI(Made in Kenya) ya kung'arisha viatu vyetu angalau mara moja kwa mwezi!

Umeiona hiyo clip ya waziri youtube?
 
Mkuu, una hisa au kamisheni gani Kenya?

Ohoo! Nenda mpakani Namanga ndio utajua Watanzania wengi wanaponea Kenya, maana bidhaa za Wakenya zinapatikana hata kwa senti. Hapa TZ ni TIGO tu ndio wanaouza bidhaa kwa senti(sumni)!
 
Mwanzo thread yako nilitaka kuielewa. Huku mbele ulipoanza kuchanganya ma international relations ,international marketing(ambayo nayo haujaielewa vizuri),national security sijui Obama mkenya ndio haujaeleweka na umeharibu kabisa. Wewe na huyo waziri wa Kenya mkapate kikombe ili akili zitulie. Mbona wakenya ndio wamejaa pale Loliondo. Tuwaache ili tupate 'balance of trade' na hizo panadol zao unazosema wanatuuzia.

Ka! Balance of trade utaipata kwa kuuza kikombe cha dawa sugu sh 500?
 
Umeiona hiyo clip ya waziri youtube?

Pesa yenyewe ya kudownload Clip nitaitoa wapi? Hapa tunachajiwa kwa MB (downloading and uploading!) wakati wenzetu wanachajiwa kwa Internet Speed. Tena umeme unaweza kukatika hata kabla sijaiona yote na pesa yangu ikaliwa bure.
 
Mwanzo thread yako nilitaka kuielewa. Huku mbele ulipoanza kuchanganya ma international relations ,international marketing(ambayo nayo haujaielewa vizuri),national security sijui Obama mkenya ndio haujaeleweka na umeharibu kabisa. Wewe na huyo waziri wa Kenya mkapate kikombe ili akili zitulie. Mbona wakenya ndio wamejaa pale Loliondo. Tuwaache ili tupate 'balance of trade' na hizo panadol zao unazosema wanatuuzia.

Clap clap mutambukamalogo yaani mediaman anaboa maana kila wakati yeye anatafuta jinsi ya kumkashifu babu. naona anatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Babu. Tumekushutukia mara unafanya kazi mt. meru mara uko kanisani tukueleweje
 
hii list imebandikwa wapi?umesahau B.P

Kutokana na maelezo yako wewe hujafika Samunge, mimi nimefika; nimemsikiliza mara mbili Jumatano tar 16 na Alhamisi tar 17.

Una bahati ka-bundle kanaisha ningepakia vidio.
 
Clip ya video 'live' ya Waziri Betty Mugo wa serikali ya Kenya ktk mkutano na wananchi wake wa nchini Kenya akiwaeleza kuwa atamtaka Waziri wa Afya wa Tanzania asimamishe huduma ya Babu huko Loliondo, wakikutana ktk Mkutano wa Mawaziri wa Afya huko Bujumbura, Burundi:

 
Last edited by a moderator:
Clap clap mutambukamalogo yaani mediaman anaboa maana kila wakati yeye anatafuta jinsi ya kumkashifu babu. naona anatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Babu. Tumekushutukia mara unafanya kazi mt. meru mara uko kanisani tukueleweje

Pole, kama umeboreka(bored), lakini wenzako wamebarikiwa(blessed). Kama unapenda kukaa mahali pamoja na kupiga ngumi ukuta(endlessly) kama picha yako inavyoonyesha, wenzako tunapenda kwenda huko na kule!
 
PHP:
Waziri wa Afya ya Jamii wa Kenya Bi. Beth Mugo amesema, Mchungaji  Mwasapile "anajifanya ndiye Yesu kabisa" il hali yeye "ni muganga"  anastahili kukamatwa na kufungwa kwa kuwa anauhadaa umma.

Ni kweli kwamba huyu Babu ni mganga wa kienyeji tu aache kumhusisha Mwenyezi Mungu ili kutangaza biashara yake.
 
Mzungu adai naye ana dawa pia inamtoa mgojwa hoi toa kitandani:
Tanzanian businessman describes the affect this novel HIV treatment has on his formerly deathbed-ridden friend and video of the treating physician descibing incredible results seen.

Let me tell you about HIV treatment in Tanzania :
 
Last edited by a moderator:
Mkuu naomba nipingane na wewe! Toka binadamu wa kwanza kuletwa duniani(Adamu) Mungu ni yule yule! Tofauti za kiimani zilizopo sasa ulimwenguni zimetokana na wale wapokeaji wa ujumbe wa Mungu! Wapo walioamua kuchakachua ujumbe huo wa Mungu kwa personal interests, otherwise tungekua wote katika itikadi na imani moja.

Vilevile wapo wakristo ambao wanampinga Babu! Mmojawapo alisikika akisema toka asikie habari za Babu hakuwahi kumsikia Babu akitaja neno YESU. Babu huwa anamtaja Mungu! Hii imemfanya mama huyu mlokole awe na mashaka na amesema katu hatuthubutu kwenda Liliondo!

Kwa waislamu kuna maajabu mengi yameshaelezwa kuja kutokea wakati ambao inaaminika ni siku za mwisho kabisa wa Dunia. Case ya Babu wa Liliondo inashabihiana kwa karibu na baadhi ya cases zilizotabiriwa. Kwa muumin mzuri wa kiislamu, hii ni miongoni mwa mitihani ya Dunia, subra na kuzidisha ibada ndio njia pekee itakayokuvusha salama katika Dunia hii.

Uongo huo. Biblia inashuhudia watu kuelevate miungu yao na kumuacha Mungu wa kweli. Angalia Babeli na kwingineko.
 
mganga wa kienyeji na dawa moja tuu? Kama watu wangekuwa hawaponi no one would have go there...
 
Unaushahidi na takwimu za watu waliopona? Watu kilasiku wanakufa huko na hilo wala hamlisemi.Je,kuna ushahidi wa kidaktari unaonesha watu kupona?
 
Mediaman baada ya kunukuu mistari mingi ya biblia na kuona haimuungi mkono, sasa amegeukia viongozi wa kisiasa hata kufikia kumtaja Obama amsaidie. Naona wale wapinzani wa babu wamekamatwa pabaya, ni kama kusema pamoja na kufunga na kumuomba mungu wao amdhuru babu hakuwasikiliza. Hii ni kusema kwamba mungu wa babu huenda ndie Mungu wa kweli maana amelifunga anga lote na miungu minginehaifurukuti, mfano wa alivyofanya Eliya hapo walipowakusanya wana wa Esraeli mlimani.
Watu mnaojiita wa kiroho mnatupa nafasi sisi watazamaji kwamba mungu wenu huenda amesafiri ama amelala na toka mnampigia kelele juu ya babu hasikii. Jitahidini huenda akawasikia atakapozinduka usingizini.
Mungu wa Israel, mungu wa manabii watakatifu, tunaemwabudu kwa jina la Yesu, amezungumza katika kitabu cha zaburi ya 103 kusema, yeye ndie anaetusamehe maovu yetu na kutuponya magonjwa yetu yote. Sasa hakuna mnalowezafanya kwa yule aliyemsamehe na kumponya, maana hakufanya hivyo kwa sheria bali kwa neema yake.
Mtataka kuupiga mchuguu teke hata lini?
.
 
Nam-support huyo mama, ila siyo kumkamata bali kufunga clinic yake. Hiyo siyo dawa
 
Back
Top Bottom