Ukimuona mtu na akili zake anaenda kwa babu kutafuta uzima, ujue kahangaika sana muda mrefu sasa hanabudi kuenda kujaribu ili apate uponyaji ambao kautafuta bilamafanikio kwa muda mrefu. Mtu kama maggid na wapambe wake, hawajapatwa na matatizo km ya hiv, kifua kikuu, saratani, na kisukari wakaonja adha yake.pemgine km wangeshapata wangetushuhudia kuwa wao japokuwa wanaumwa hawawezi kwenda ila wanasubiri kuendelea na mateso yao hadi wafe.... Pengine hapo wanganza nishawishi nami kwa hoja zao... Lakini kupayuka tu huku wengine wakipata taaaaaaabu kiafya haiingii akilini mwangu!!!