Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,847
- 37,536
Tamaduni yenye nguvu iliyobaki Africa masai
Ni tatizoHivi kuingia dini ukubwani kuna tatizo ?
Mtu kazaliwa familia ya kiksristto, anabadili dini kuwa muislam, watoto wake wanakuwa waislamu, tatizo lipo wapi ?
Hata babu zetu wengi waliingia hizi dini mpya wakiwa wakubwa, kuna tatizo ?
Una mambo ya ajabu sana,Ni tatizo
Manaake kwenye hiyo familia hakukuwa na misingi imara...
Asante kwa mchango, wahaya nimefuatilia ni kweli nimeona si jambo la ajabu kuwakuta waislamWahaya waislamu wengi sana sana na ukimkuta mhaya ni muislam basi huwa muislam kwelikweli.
Wanyakyusa waislam swala tano ni wengi mfano wao ni Kocha Juma Mwambusi. Mwambusi ni swala tano
.
Mtu anafungua thread anakwambia hajawahi ona mhaya au mchaga muislam wakati muanzisha thread mwenyewe amezaliwa na kukulia Iringa.,
Wachagga wapo tofauti. Kuna wachaga wa Rombo, Wa Marangu wa Kibosho, Old Moshi n.k.Asante kwa mchango, wahaya nimefuatilia ni kweli nimeona si jambo la ajabu kuwakuta waislam
Wanyakyusa pia asanye umeweza kukazia point
Kuhusu wachaga ni nadra, sio kwamba hawapo kabisa lakini ni "nadra" hasa kwa kuzingatia mila zao kila Decelmber huwa wanarudi na wakiwa huko pombe ya Mbege ni lazima unywe, usipokunywa unaonekana unadharau mila za kichaga.
Kwamba?Tamaduni yenye nguvu iliyobaki Africa masai
Mmalila muislamu hayupo na hatakuwepo maana wanaamini waisilamu ni wachawi1. Wachaga - kumkuta mchaga muislam labda kwa mbali sana awe wa machame
2. Masai
3. Wakinga
Wanyakyusa hapo zamani na wao ilikuwa ni nadra sana lakini sikuhizi imeanza kuwa kawaida utawakuta Mashehe kina Mwaipopo, wachezaji kina Azizi Andambwile, na mitaani wapo wenye majina yote ya kiarabu.
Wakurya nao sikuhizi utawakuta waislam kina Mohammed, Abdallah, n.k.
Wapare ni kawaida sana kuwakuta waislam.
Wahehe wa Iringa waislam wapo wa kutosha tu na hata ukoo wa Chifu Mkwawa kwa dini ni Waislamu.
Kuna historia fulani ya ni kwanini ipo hivo.Wamachame wengi tu Waislamu
Mi mmasai bhana nasema mi mmasaiKwamba?
Hii ni almost kwa makabila yote ya Mara, lakini pia wapo wakatoliki ambao wengi huwa viongozi maarufu na kushikilia idara nzito za jeshi kama kina Nyerere (mzanaki), Mabeyo (mjita), n.k.Wajita wengi wao ni Sabato.
Umewasahau wajaluo
Sijawagi kukutana na mjaluo muislam
Mabeyo ni MsukumaHii ni almost kwa makabila yote ya Mara, lakini pia wapo wakatoliki ambao wengi huwa viongozi maarufu na kushikilia idara nzito za jeshi kama kina Nyerere (mzanaki), Mabeyo (mjita), n.k.