Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,276
- 87,087
Kwann lakini jamani 🤣🤣🤣🤣Nikikosa comment yako kwenye Hz mambo hua naangalia bando kama bado lipo
Kwann lakini jamani 🤣🤣🤣🤣Nikikosa comment yako kwenye Hz mambo hua naangalia bando kama bado lipo
Unakuaga hot sana tofauti na kwenye mada zngnKwann lakini jamani 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 jamaniUnakuaga hot sana tofauti na kwenye mada zngn
🤣🤣🤣 hatuna pesa ila hizo sate ndo tunazo uongo dhambiNyie binadamu mna pesa aiseeeh
Natamani nipate maisha kama yenu niwe na pesa mingi mingi na wabebi wengi warembo warembo.
Ukiona wamepunguza kukuhonga jua umeshadoda shost. Wakati wako umepita.
Wenzako bado tunahongwa hadi tumechoka kusema “waooooohhhh thank you beb”.
Haya sasa fanya kazi acha kutegemea kuhongwa .




huenda na watu anao date nao yeye ndo tatizo.Kwani nani anataka kukujua wewe? Umedoda ndio acha kukasirikia ukweli![]()




Tafuta zako za kuhongwa ziwe za ziada shosti, ukizoea kuhongwa utaombwa mpk visivyoombeka!!! Si unajua km wanaume ni mbwa?! Utapigwa dog hata usiku wa manane na huna cha kumfanya![]()






uduguuu naomba niwacheeee.Kabisa jirani!! Nowadays hakuna mwanaume anahonga mwanamke asiye na pesa.
Kifuatacho ukipewa ni kuombwa kwa mama kibonge kwa mbele kule![]()





Wanatuchosha tu na madazaoAunt kwann lakini?![]()
😂😂😂 umelala umechoka unaamshwa uchume mboga kisa visenti vyake alivyokupauduguuu naomba niwacheeee.
Zamani nilikuwa najiamini sana najua niko na konga la kutoshea, Mwaka fulani nilito*****a dada fulani Mbeya pale ....... aseeeeee siku ile nilikuwa mdogo kama piritoni maana dada ana shimo Pana yule!!!! Hadi nikajiona kumbe Mimi ni kibatu, akagundua nimestukia ,akanambia "hata Mimi sipendi kuwa hivo maana sijajiumba", akashisha kilio Cha maumivu ya moyo ikanilazimu nimfariji kwa maneno matamu. Kuhonga mwanamke wa design hii ni kazi sana maana unakuwa kama unat.....mba hewa tu, hupati hisia ya ule msuguano unaotokana na kuta za kei
Tulipoagana hapo sikuwahi mtafuta tena




yaan nimecheka had baas.Una uhakika ni dada? 😳Jamani huyu dada apewe mimba atulie
Mama Mchungaji 😳😳😳Weeee
Sema kweli 😅
Ila akipata size Yake itabana tu
Usisahau Kuna wanaopenda inayopwaya pia....😜🏃🏃🏃🏃
Aliishia wapi yule wa sate thausandi?🤣🤣🤣 Mpk nakufa naibukia peponi sisahau
Kuna mwamba humu jamvini ili kukata maneno hutumia neno nukta.Wacha nisome comments tu hapa!
Hajatokea kujibu tuhuma mpk leo nitamcheck baadae km yupo active 🤣🤣🤣Aliishia wapi yule wa sate thausandi?
Labda uje ubadilike lakini ukiendelea hivi hata huko peponi utatolewa mkuku tu 😁