Imekuaje wanaume mmepunguza kuhonga

Imekuaje wanaume mmepunguza kuhonga

Nawapenda tena nawapenda sana.

Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti mzuri sana wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu!

Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya leo, hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani? Miaka ile wanaume wenzenu walikuwa wanahonga hadi nyumba, eh labda tuseme nyumba kitu kidogo. Wakina Harmonize wanahonga hadi Range!

Hakuna kitu inauma mwanaume anakulala halafu eti anakuachia ka elfu 50 na mabusubusu kedekede. Yaani mapigo ya moyo yanaenda mbio sana, leo hii mwanaume kukupa hata hela ya vocha hamna.

Wanaume Tafuteni hela jamani
Mbona kama Unique Flower kaja na ID mpya, yule member aliesafirishwa toka Mwanza hadi Dar halafu akapewa 8,500
 
Kama una maisha magumu sema nikusaidie.

Hata kukutafutia madanga yenye hela
Sina shida ya kutafutiwa njooni na ID zenu zinazotambulika tujibishane vizuri msidanganye umma . Nyuma sio afya Madanga yapo Tanzania hii kweli, wewe unanini tuanzie hapo sema gari unayoitumia ndio nitaamini unamaisha .

Ila unazidi kupotea kutokana na akili mbovu ulionayo , maisha ni kutafuta wewe na upate kwa jasho lako. Madanga unayajua wewe umewahi pewa moja . Yanayoitwa madanga au unavifuta jasho mwisho wao kodi ni ya laki 3 nawanakulisha viepe unaita madanga nionyeshe passport yako imepigwa mara ngapi . Ukiwa unaenda vacation
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom