Imekuaje wanaume mmepunguza kuhonga

Imekuaje wanaume mmepunguza kuhonga

Inakuhusu
JamiiForums1155998798.jpg
 
Kuna nn tena my sis....mwanaume gani tena hahongi huko....ila wanaume wanataka sababu ya kuhonga hawahongi hovyo tu
Mpe sababu ya kukuhonga onhooo
Lamomy njoo utoe semina elekezi huku
Mwanaume mpk akuhonge aone umekidhi vigezo vya kuhongwa. Yeye ajiulize tbs wamemkagua km anahongeka?!
Huna hata mia afu unataka upewe laki kwa kazi gani haswaaa!!! 🤣🤣🤣🤣
 
Uzuri ni kwamba hela zinaenda kwa wenye hela.. wewe kama huna zako endelea kupambana na hali yako😃😃😃
Kabisa jirani!! Nowadays hakuna mwanaume anahonga mwanamke asiye na pesa.
Kifuatacho ukipewa ni kuombwa kwa mama kibonge kwa mbele kule 🤣🤣🤣
 
Kabisa jirani!! Nowadays hakuna mwanaume anahonga mwanamke asiye na pesa.
Kifuatacho ukipewa ni kuombwa kwa mama kibonge kwa mbele kule 🤣🤣🤣
Ndo hivyo jirani🤣🤣,, unakuta analalamika haongwi halafu account yake haina hata 1m... anahongwa nini mtu kama huyo,, si ashukuru hata hiyo 50k aliyolipwa😃😂😂😂😂🙌
 
Ndo hivyo jirani🤣🤣,, unakuta analalamika haongwi halafu account yake haina hata 1m... anahongwa nini mtu kama huyo,, si ashukuru hata hiyo 50k aliyolipwa😃😂😂😂😂🙌
🤣🤣🤣🤣 Tutafute pesa jirani.
 
Nawapenda tena nawapenda sana.

Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti mzuri sana wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu!

Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya leo, hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani? Miaka ile wanaume wenzenu walikuwa wanahonga hadi nyumba, eh labda tuseme nyumba kitu kidogo. Wakina Harmonize wanahonga hadi Range!

Hakuna kitu inauma mwanaume anakulala halafu eti anakuachia ka elfu 50 na mabusubusu kedekede. Yaani mapigo ya moyo yanaenda mbio sana, leo hii mwanaume kukupa hata hela ya vocha hamna,

Wanaume Tafuteni hela jamani
Mbunye kitu Cha kawaida sana kimboka tunanunua hatuhongi
 
Sana yaani
Kuna Ile raha unaipata ukishika pesa yako uliyoitafuta kwa uchungu
Sasa 50k ni kitu ya kuhongwa kweli
Mbona anatutia aibu huyu
Ukiwa na pesa inapunguza hata papuchi kukutana na vitu visivyo size yake 🤣🤣🤣
Huyo hana tofauti na wa sate sauzandi
 
Sana yaani
Kuna Ile raha unaipata ukishika pesa yako uliyoitafuta kwa uchungu
Sasa 50k ni kitu ya kuhongwa kweli
Mbona anatutia aibu huyu
Yani anatudhalilisha sio siri 🤭🤭😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom