Imekuaje wanaume mmepunguza kuhonga

Imekuaje wanaume mmepunguza kuhonga

Mikei mingine hata ukiichakatq ni kujidhalilisha tu, mikei kama hiyo hata uniite nikupige miti kisha wewe ndo unilipe, bado nitakataa.

Wanaume tuna thamani zetu, hatuloweki raslimali dudu ktk kila shimo.
 
Zaman watu walikuwa wanahonga kulilinda penzi,kwa sababu kuanza penzi jipya kidogo mtihani hadi kuisogelea mbususu.Siku hizi hata ukiwa na 10(mwekundu)tena umekaa nyumbani kwako tu mbususu inafika bila shaka.

Sasa nani atataka kubaki na brevis kujipa shida??maisha yamebadirika sana ndugu zetu
 
Akijibu unitag
Huyu ni mwanaume sio mwanamke walahi kwasababu gani huwezi sema hivyoo kama wewe ni mwanamke anatudhalilisha kiasi kikubwa ndio watu wanapenda pesa . Ila post zake zinakera sana walahi yaani mtu anatoa post za mawazo kwanini.
 
Huyu ni mwanaume sio mwanamke walahi kwasababu gani huwezi sema hivyoo kama wewe ni mwanamke anatudhalilisha kiasi kikubwa ndio watu wanapenda pesa . Ila post zake zinakera sana walahi yaani mtu anatoa post za mawazo kwanini.
Niliwaza hivyo...

Maana sio kwa kujirahisisha huko...
 
Ukiona wamepunguza kukuhonga jua umeshadoda shost. Wakati wako umepita.
Wenzako bado tunahongwa hadi tumechoka kusema ā€œwaooooohhhh thank you bebā€.

Haya sasa fanya kazi acha kutegemea kuhongwa .
Wenzako bado tunahongwa hadi tumechoka kusema ā€œwaooooohhhh thank you bebā€.

Usijefanya mwenzio akaanza kwenda kwa sangoma
 
Ukiona wamepunguza kukuhonga jua umeshadoda shost. Wakati wako umepita.
Wenzako bado tunahongwa hadi tumechoka kusema ā€œwaooooohhhh thank you bebā€.

Haya sasa fanya kazi acha kutegemea kuhongwa .
Wenzako bado tunahongwa hadi tumechoka kusema ā€œwaooooohhhh thank you bebā€.

Usijefanya mwenzio akaanza kwenda kwa sangoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom