Wanawake tunapenda wanaume wenye hela na gari

Wanawake tunapenda wanaume wenye hela na gari

HERUFI KUBWA

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
388
Reaction score
602
Hello guys.

Hakuna jambo zuri na kubwa maishani upate mwanaume anayekupenda na siyo kukupenda tu, yaani akupende haswa.[emoji7][emoji7]

Mungu wangu, utake nini kwa Dunia hii mwanamke usipewe[emoji1][emoji1], kama ni gari basi sawa hilo, nyumba kali yaani ni nzuri kabisa mwanaume akupangie Tabata huko.

Baby nahitaji laki 2 ya kusuka, imekuja. Baby nataka hela ya kucha na kagauni kazuri nimekaona Mlimani City. Yaani raha ya Dunia hii upate mwanaume anayekupenda na siyo kukupenda tu maana mapenzi hata ngamia na njia anayo, bali atimize majukumu yako yote.

Kiukweli mwanaume tafuta hela siyo [emoji240] doggy style, kifo cha mende hata kwa mama kibonge au kwa lulenge utapewa.

Jamani nyie ma gentlemen wa JF tafuteni hela, watoto wa kike tunataka vitu vizuri ili twendee Mountain Kibo, nje na hapo itakuwa shombo eh!

Nawapenda.
1666193358053.jpg
 
Hello guys.

Hakuna jambo zuri na kubwa maishani upate mwanaume anayekupenda na sio kukupenda tu yaani hakupende haswa[emoji7][emoji7]

Oh my God utake nini kwa Dunia hii mwanamke usipewe[emoji1][emoji1]kama ni gari basi sawa hilo ,nyumba kali yaani ni nzuri kabisa mwanaume hakupangie tabata huko..

Baby nahitaji laki 2 ya kusuka imekuja baby nataka hela ya kucha na kagauni kazuri nimekaona mlimani city yaani raha ya dunia hii upate mwanaume naayekupenda na sio kukupenda tu maana mapenzi hata ngamia na njia anayo.bali atimize majukumu yako yote.

Kiukweli mwanaume tafuta hela sio [emoji240] doggy style,kifo cha mende hata kwa mama kibonge au kwa lulenge utapewa.

Jamani nyie magentlemen wa jf tafuteni hela watoto wa kike tunataka vitu vizuri ili tuendee mountain kibo.nje na hapo itakuwa shombo eh..

NAWAPENDAView attachment 2392176
Mhhh haya sawa
 
Hello guys.

Hakuna jambo zuri na kubwa maishani upate mwanaume anayekupenda na sio kukupenda tu yaani hakupende haswa[emoji7][emoji7]

Oh my God utake nini kwa Dunia hii mwanamke usipewe[emoji1][emoji1]kama ni gari basi sawa hilo ,nyumba kali yaani ni nzuri kabisa mwanaume hakupangie tabata huko..

Baby nahitaji laki 2 ya kusuka imekuja baby nataka hela ya kucha na kagauni kazuri nimekaona mlimani city yaani raha ya dunia hii upate mwanaume naayekupenda na sio kukupenda tu maana mapenzi hata ngamia na njia anayo.bali atimize majukumu yako yote.

Kiukweli mwanaume tafuta hela sio [emoji240] doggy style,kifo cha mende hata kwa mama kibonge au kwa lulenge utapewa.

Jamani nyie magentlemen wa jf tafuteni hela watoto wa kike tunataka vitu vizuri ili tuendee mountain kibo.nje na hapo itakuwa shombo eh..

NAWAPENDAView attachment 2392176
Kwenye picha pesa na gari halipo lakini
 
Hela ipo na Gari lipo slide DM tuyajenge huenda huyu nilienae nikamuweka kando maana msumbufu...
Mwanaume mwenye hela hajigambi hivyo mkuu.ni suala la muda kila kitu kitajulikana
 
Hello guys.

Hakuna jambo zuri na kubwa maishani upate mwanaume anayekupenda na sio kukupenda tu yaani hakupende haswa[emoji7][emoji7]

Oh my God utake nini kwa Dunia hii mwanamke usipewe[emoji1][emoji1]kama ni gari basi sawa hilo ,nyumba kali yaani ni nzuri kabisa mwanaume hakupangie tabata huko..

Baby nahitaji laki 2 ya kusuka imekuja baby nataka hela ya kucha na kagauni kazuri nimekaona mlimani city yaani raha ya dunia hii upate mwanaume naayekupenda na sio kukupenda tu maana mapenzi hata ngamia na njia anayo.bali atimize majukumu yako yote.

Kiukweli mwanaume tafuta hela sio [emoji240] doggy style, kifo cha mende hata kwa mama kibonge au kwa lulenge utapewa.

Jamani nyie magentlemen wa jf tafuteni hela watoto wa kike tunataka vitu vizuri ili tuendee mountain kibo.nje na hapo itakuwa shombo eh..

NAWAPENDAView attachment 2392176

Hahaha .......nimesema mengi sana
 
Hello guys.

Hakuna jambo zuri na kubwa maishani upate mwanaume anayekupenda na sio kukupenda tu yaani hakupende haswa[emoji7][emoji7]

Oh my God utake nini kwa Dunia hii mwanamke usipewe[emoji1][emoji1]kama ni gari basi sawa hilo ,nyumba kali yaani ni nzuri kabisa mwanaume hakupangie tabata huko..

Baby nahitaji laki 2 ya kusuka imekuja baby nataka hela ya kucha na kagauni kazuri nimekaona mlimani city yaani raha ya dunia hii upate mwanaume naayekupenda na sio kukupenda tu maana mapenzi hata ngamia na njia anayo.bali atimize majukumu yako yote.

Kiukweli mwanaume tafuta hela sio [emoji240] doggy style, kifo cha mende hata kwa mama kibonge au kwa lulenge utapewa.

Jamani nyie magentlemen wa jf tafuteni hela watoto wa kike tunataka vitu vizuri ili tuendee mountain kibo.nje na hapo itakuwa shombo eh..

NAWAPENDAView attachment 2392176
Tunaomba mahusiano ya hiyo picha na uzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom