100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 8,791
- 30,985
Inch 17 imekuwa tairi ya gari?hii ni bwanga inch 17 no way😅
Inch 17 imekuwa tairi ya gari?hii ni bwanga inch 17 no way😅
Naomba🤣🤣🤣 hatuna pesa ila hizo sate ndo tunazo uongo dhambi
Akuuu sihongagi 🤣🤣🤣Naomba
TUtakutana tu beach nikufundishe kuogelea😎Akuuu sihongagi 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 niliachaga kwenda beach muda, nilikuwa na kiboyfrend changu cha kihindi tulikuwa tunakutana huko nakilia vihela vyake anavyochukua kwao, afu namzungusha kumpa bibi 🤣🤣🤣TUtakutana tu beach nikufundishe kuogelea😎
Tuko duniani msukumaMama Mchungaji 😳😳😳
Ni wewe huyu au kuna mtu ulimwachia simu? 😁😁🖐
Niko kwenye uzi wa "beach boys na watoto wa kike" mko na waziri wenu mnatatua changamoto🤣🤣🤣 niliachaga kwenda beach muda, nilikuwa na kiboyfrend changu cha kihindi tulikuwa tunakutana huko nakilia vihela vyake anavyochukua kwao, afu namzungusha kumpa bibi 🤣🤣🤣
😂😂😂 beach boyz wangese wale wanakupiga pomboo ndani ya maji huku unajiona ole wako ukatae km hujaachwa uzameNiko kwenye uzi wa "beach boys na watoto wa kike" mko na waziri wenu mnatatua changamoto
Ila
Hakika mnafaidi huko nyiee🤣
Naomba unipeleke nikajionee na mimi niifanye hiyo kazi hata kwa siku 2 tu
Maneno yako tu🤣🤣🙌🙌pomboo
😂😂😂😂 Ile sio ajira ni njia ya kupata yutiai suguManeno yako tu🤣🤣🙌🙌
Nipeleke rafiki nikafanye hiyo ajira maana sihitaji tena pesa😂
PM yako iko wazi Ma Mchungaji?Tuko duniani msukuma
Shaka ondoa😜🤣🤣🤣
Mama mchungaji usisahau kuchukua fungu la kumi kwa Ngosha Tayana-wog 😂😂😂PM yako iko wazi Ma Mchungaji?
Kuna fungu nataka uje unifafanulie 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
SawasawaMama mchungaji usisahau kuchukua fungu la kumi kwa Ngosha Tayana-wog 😂😂😂
KaribuuuPM yako iko wazi Ma Mchungaji?
Kuna fungu nataka uje unifafanulie 😁😁😁🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
Mama mchungaji zingatia yasitokee km ya yule msharika mwingine 😂😂😂Sawasawa
Nimezingatia hili 🤣
Asenteeee...!!!Huu ujinga wa wanawake kutaka kuhongwa ndio umeharibu utamu wa mapenzi...
We mkorofi 🤣Utasema watu wamevuta bangi 😀😀
Nawapenda tena nawapenda sana.
Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti mzuri sana wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu!
Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya leo, hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani? Miaka ile wanaume wenzenu walikuwa wanahonga hadi nyumba, eh labda tuseme nyumba kitu kidogo. Wakina Harmonize wanahonga hadi Range!
Hakuna kitu inauma mwanaume anakulala halafu eti anakuachia ka elfu 50 na mabusubusu kedekede.Yaani mapigo ya moyo yanaenda mbio sana, leo hii mwanaume kukupa hata hela ya vocha hamna.
Wanaume Tafuteni hela jamani