Illuminati and Freemasons

Hakuna kitakachovuja tutajua walivyotuandikia wenyewe kwenye Google tu! Wakijua siri zao zinatolewa huku huu uzi utafutwa ghafla! Ndio ujue wanatawala kila kitu Duniani! Kumbuka kuelezea kwenye freemasons Degree ya 33 order
 
Nikajua unaleta full nondo kumbe unaruka ruka tu mara freemason mara umeacha umekamata Illuminati huko nako umewaacha hadhira na maswal umedakia skulls and bones angalia wanafunz wasifeli maana Freemason yenyew ni syllabus hujamaliza hata sub topic umeipiga chini tayar haya bwana nilitarajia umzungumzie Adam Weshapt na positivity take ndan ya Illuminati mpaka degree ya 33 halaf utulete hapa kwetu utunyambulie Illuminati nchin kwetu ili watu tuifahamu vyema matokeo yake umefanya kama alivyotanguliza mkuu mwenzang hapo juu kukuallert kuwa uje na full info kuhusu hii mambo usiweke propaganda za dini na story za vijiwe humu.
SKULLS AND BONES - 1

Hili ni kundi lenye nguvu kushinda FREEMASON

Leo tuwa kodolee Macho kidogo Wazee wa mafuvu na Mifupa,
Lilianzishwa mwaka 1832 na watu wawili William Huntington Russell na Alphonso Taft hawa jamaa walikua na kawaida ya kuiba mavufu ya watu maarufu na mashujaa na kuyaifadhi. -

Nikupe kisa kimoja 10/2/2017 ndugu mmoja ( Haryln Geronimo (Kitukuu cha shujaa Geronimo) mwenye miaka 61) katika jamii hii alifungua mashtaka akiwashtaki Skull and bones jamii ya siri ambayo ilianzia Katika chuo kikuu cha YALE huko marekani kuwa iruhusika na kuiba mabaki ya Shujaa Geronimo ambaye alikuwa ni shujaa kutoka Jamii ya APACHE (Red Indians).
-

Miaka kadhaa imekuwa ikipigiwa kelele jamii hii ya Fuvu na Mifupa kuwa imeshikilia mabaki ya Geronimo ikiyatumia kwa shughuli zake za kiimani.
Anasema “naamini kabisa toka moyoni mwangu kuwa roho ya Geronimo haikuachiliwa"
-

Wakongwe Kama Prescott S. Bush ambaye ni baba wa aliyekuwa Rais George W. Bush na Babu wa George W Bush huyu na wenzie wengine wanachama wa Skull and Bones walichimba mabaki ya Geronimo toka kaburini mwaka 1918 wakaiba fuvu la Huyu Shujaa, Na Mifupa miwili na mavazi yake kivita kutoka katika Kaburi lake huko Fort Sill.
-

Jamii hii ikachukua mabaki haya na kuyaweka Makao yao Makuu ambayo yalikuwa yameanzishwa toka mwaka 1832.
Kuna mambo mengi ambayo yamekuwa yaki zungumzwa kuhusiana na kundi au jamii hii. -

Ni kundi ambalo nchi za huku kwetu hali fahamiki na watu wengi lakini kwa huko kwa wenzetu ni Kundi kubwa na la kutisha sana.
Ni Kundi lenye viongozi wakubwa sana duniani na watu maarufu likihusishwa na kundi la mafia kwa miaka hiyo.
Pia Wana Patikana Katika Vyuo Vikuu Mbali Mbali Duniani na siku hizi hata Vyuo vya kawaida. -

Vyuo vikuu Kuna elimu inaitwa THE SECRET DOCTRINE OF HYPOTHESIS IN SCIENCE, RELIGION AND PHILOSOPHY ukikutana na mtu haamini uwepo wa mwenyezi Mungu mara baada ya kutoka chuo basi jua SKULLS AND BONES Wamesha fanya yao. -

Sahau kuhusu Freemasons hili ndilo kundi lenye nguvu zaidi ndani ya Illuminati. -

ITAENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app
M
 
Nikajua unaleta full nondo kumbe unaruka ruka tu mara freemason mara umeacha umekamata Illuminati huko nako umewaacha hadhira na maswal umedakia skulls and bones angalia wanafunz wasifeli maana Freemason yenyew ni syllabus hujamaliza hata sub topic umeipiga chini tayar haya bwana nilitarajia umzungumzie Adam Weshapt na positivity take ndan ya Illuminati mpaka degree ya 33 halaf utulete hapa kwetu utunyambulie Illuminati nchin kwetu ili watu tuifahamu vyema matokeo yake umefanya kama alivyotanguliza mkuu mwenzang hapo juu kukuallert kuwa uje na full info kuhusu hii mambo usiweke propaganda za dini na story za vijiwe humu.

M
Mkuu unaweza kuendeleza !!
 
Fremason wapo kweli ni watu waliofanikiwa kuufungua ulimwengu wa Tatu ule wenye miujiza sasa wao wanafanya kwa viwango haswa a mini usiaminii ukieza kuufungua uo ulimwengu wa Roho unaeza kua unachotaka kikubwa ni Imani yako tu Na Kuna key mbali mbali to za kufungulia huo mlango wengine wanaamini kupitia Jina la Yesu wengine manabii wengine wachungaji wengine ndo hao free mason wengine waganga yote kwa yote is All about kuamini
Mh kwa hyo mchawi...sangoma...wote ni Freemason?
Hyo Freemason watakuwa wamekosa soko
 
Back
Top Bottom