Illuminati and Freemasons

Future Lawyer unawaokota sana wazembe wa kuutafuta ukweli. Hakuna sehemu yeyote Freemasons ikawa tawi la Illuminati, bali wanachama wengi wa mwanzo wa Illuminati walikuwa wanachama wa Freemasons. Historia hii iko wazi kabisa kwenye Wikipedia.
sio kila kitu watakuwekea mtandaoni vingine wanaficha kama walivyofanya kwenye Bible , jiongeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SKULLS AND BONES - 1

Hili ni kundi lenye nguvu kushinda FREEMASON

Leo tuwa kodolee Macho kidogo Wazee wa mafuvu na Mifupa,
Lilianzishwa mwaka 1832 na watu wawili William Huntington Russell na Alphonso Taft hawa jamaa walikua na kawaida ya kuiba mavufu ya watu maarufu na mashujaa na kuyaifadhi. -

Nikupe kisa kimoja 10/2/2017 ndugu mmoja ( Haryln Geronimo (Kitukuu cha shujaa Geronimo) mwenye miaka 61) katika jamii hii alifungua mashtaka akiwashtaki Skull and bones jamii ya siri ambayo ilianzia Katika chuo kikuu cha YALE huko marekani kuwa iruhusika na kuiba mabaki ya Shujaa Geronimo ambaye alikuwa ni shujaa kutoka Jamii ya APACHE (Red Indians).
-

Miaka kadhaa imekuwa ikipigiwa kelele jamii hii ya Fuvu na Mifupa kuwa imeshikilia mabaki ya Geronimo ikiyatumia kwa shughuli zake za kiimani.
Anasema “naamini kabisa toka moyoni mwangu kuwa roho ya Geronimo haikuachiliwa"
-

Wakongwe Kama Prescott S. Bush ambaye ni baba wa aliyekuwa Rais George W. Bush na Babu wa George W Bush huyu na wenzie wengine wanachama wa Skull and Bones walichimba mabaki ya Geronimo toka kaburini mwaka 1918 wakaiba fuvu la Huyu Shujaa, Na Mifupa miwili na mavazi yake kivita kutoka katika Kaburi lake huko Fort Sill.
-

Jamii hii ikachukua mabaki haya na kuyaweka Makao yao Makuu ambayo yalikuwa yameanzishwa toka mwaka 1832.
Kuna mambo mengi ambayo yamekuwa yaki zungumzwa kuhusiana na kundi au jamii hii. -

Ni kundi ambalo nchi za huku kwetu hali fahamiki na watu wengi lakini kwa huko kwa wenzetu ni Kundi kubwa na la kutisha sana.
Ni Kundi lenye viongozi wakubwa sana duniani na watu maarufu likihusishwa na kundi la mafia kwa miaka hiyo.
Pia Wana Patikana Katika Vyuo Vikuu Mbali Mbali Duniani na siku hizi hata Vyuo vya kawaida. -

Vyuo vikuu Kuna elimu inaitwa THE SECRET DOCTRINE OF HYPOTHESIS IN SCIENCE, RELIGION AND PHILOSOPHY ukikutana na mtu haamini uwepo wa mwenyezi Mungu mara baada ya kutoka chuo basi jua SKULLS AND BONES Wamesha fanya yao. -

Sahau kuhusu Freemasons hili ndilo kundi lenye nguvu zaidi ndani ya Illuminati. -

ITAENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app
Skull and bones ni fraternity na fraternity zipo nyingi na kila College na University ndani ya Marekani wanakuwa nazo ni kama traditional kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freemasons haiabudu shetani na ni member club kama zilivyo YMCA na zinginezo ila wenyewe wameamua kuiweka kwa namna yao ambayo wamependa wao iwe ( katiba na misingi ). Freemasons wote wapo kwenye dini zao wanazoabudu na sheria moja wapo ya kuwa member ni uwe una dini unaabudu, wana amini kama una abudu na kuamini basi ni mtu mwenye imani na kuweza kuelewa mambo.
ILLUMINATI - 1
Illuminati ilianzishwa rasmi tarehe 1 mwezi wa 5 mwaka 1776 na Adam Weishaupt huko Ingolstadt, Germany huku lengo kuu likiwa "Into the bright" wakati kinaanzishwa walikua na malengo mengi mazuri, ikiwemo kupinga imani za jadi, kupinga matumizi ya nguvu za giza, kupinga unjanyasaji na kupinga na dora kubwa kubwa.

Hata haijulikani kilitokea nini! labla kwasababu ya kukosa nguvu ya ushawishi na kuungwa mkono, Baadae wakaanza kuvishawishi vikundi ambavyo kwa wakati huo vilionekana vina ushawishi kama vile Order of Assassins, Skull and Bones, Masons (Waashi/Wajenzi kabla hata hawajawa wajenzi huru {Freemasons}),

Hivi vyama ni kizungumkuti kuvielewa na kuvifuatilia kwa undani wengi tunaishia kusoma makala za kwenye magazeti na kujiona tuna vifahamu. Neno Freemasons sio ngeni masikio kwa watu na wengi wetu tuna wasikia zaidi Freemasons (Hatuwafahu kama tunavyo jiaminisha) kwa maneno mengine Freemasons ni maarufu kuliko hata Illuminati.

Kimsingi hawa Wote ni wamoja lakini wana tofautiana katika utendaji kwa mfano Freemasons hawa wana husika na mambo ya Imani hawa tunao kwenye Dini zetu, kwenye makanisa yetu na kwenye misikiti yetu wamesha piga kambi toka muda mrefu sana,

Hapa sina maana ya Dini fulani au kanisa au Msikiti fulani ni wa Freemasons, Lakini hawa wanakua na kikundi chao cha siri kinafanya kazi kwa siri kwenye imani fulani (Makanisa & Misikiti) wanacho kifanya hawa ni kufuata taratibu zote husika lakini Kuna vitu Wana anza kupandikiza kwenye imani husika na kuchunguza taratibu zote za Imani husika.

Freemasons wamekuwa maarufu zaidi kuliko vikundi vingine kutokana na wao kufanya kazi inayo husisha Imani na walikua maarufu kabla hata ya kuwa chini ya Illuminati, Pamoja na kwamba Freemasons ni kikundi ndani ya Illuminati nao kama Freemasons wanaongoza kuwa na vikundi vingi vya siri labla ndio sababu nyingine ya inayo wafanya kuwa maarufu.

Kuna Sect hatari ndani ya Freemasons inaitwa Propaganda Due (P2) maarufu sana kama "Trust Control" habari za Freemasons zote unazosoma kwenye machapisho mbali mbali asili yake ni wao ukisha sikia "Wadhibiti Ukweli" bila shaka usha fahamu nini kinaendelea.

ITAENDELEA

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freemasons haiabudu shetani na ni member club kama zilivyo YMCA na zinginezo ila wenyewe wameamua kuiweka kwa namna yao ambayo wamependa wao iwe ( katiba na misingi ). Freemasons wote wapo kwenye dini zao wanazoabudu na sheria moja wapo ya kuwa member ni uwe una dini unaabudu, wana amini kama una abudu na kuamini basi ni mtu mwenye imani na kuweza kuelewa mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Freemason god is devil one of their mission ni ku_ confuse watu , wamejificha chini ya mwamvuli wa dini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Illuminat society ni jamii ya watu wenye akili (majiniazi) kama galileo,leonardo davinci,michelangelo n.k. Hii jamii ilipingwa na kanisa kutokana na kwamba kanisa ndo lilikuwa linaongoza raia na kila linalosema watu wanasikiliza bila kufikiria,kwa mfano jua linaizunguka dunia na illuminat mmoja akasema no dunia ndo inaizunguka jua na ushahidi akatoa. Utawala ule ukampoteza,wakaanza kuwindwa na ikumbukwe kuwa kuna wafanya biashara waliokuwa wanawasaidia kwenye projekti zao nao pia wakawa wanawindwa na utawala. Sasa illuminat wakawa wanatumia codes ili waweze kuwasiliana na hao wafanyabiashara ambao walikimbilia mapangoni ili kujificha na huko mapangoni waliwakuta mafundi ujenzi wakawa wanawauzia biashara zao na kuwasaidia wanapokuwa na shida ndo wakaona fursa wakawa wanasaidia projekti zao vile vile ndo wakajiita freemasons na illuminat waliendelea na ishu zao kwa siri,ila palitokea kundi la kihalifu lilokuwa linaua viongozi wa kanisa na kisha wanaacha alama za illuminat na freemasons walizokuwa wanatumia katika kuwasiliana kwa hiyo wakawa wanajulika kama wanalipiza visasi kumbe hamna......endelea na stori mkuu hii ni chai kwa mluzi
 
Illuminat society ni jamii ya watu wenye akili (majiniazi) kama galileo,leonardo davinci,michelangelo n.k. Hii jamii ilipingwa na kanisa kutokana na kwamba kanisa ndo lilikuwa linaongoza raia na kila linalosema watu wanasikiliza bila kufikiria,kwa mfano jua linaizunguka dunia na illuminat mmoja akasema no dunia ndo inaizunguka jua na ushahidi akatoa. Utawala ule ukampoteza,wakaanza kuwindwa na ikumbukwe kuwa kuna wafanya biashara waliokuwa wanawasaidia kwenye projekti zao nao pia wakawa wanawindwa na utawala. Sasa illuminat wakawa wanatumia codes ili waweze kuwasiliana na hao wafanyabiashara ambao walikimbilia mapangoni ili kujificha na huko mapangoni waliwakuta mafundi ujenzi wakawa wanawauzia biashara zao na kuwasaidia wanapokuwa na shida ndo wakaona fursa wakawa wanasaidia projekti zao vile vile ndo wakajiita freemasons na illuminat waliendelea na ishu zao kwa siri,ila palitokea kundi la kihalifu lilokuwa linaua viongozi wa kanisa na kisha wanaacha alama za illuminat na freemasons walizokuwa wanatumia katika kuwasiliana kwa hiyo wakawa wanajulika kama wanalipiza visasi kumbe hamna......endelea na stori mkuu hii ni chai kwa mluzi
Hapa sasa naanza kupata maarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fremason wapo kweli ni watu waliofanikiwa kuufungua ulimwengu wa Tatu ule wenye miujiza sasa wao wanafanya kwa viwango haswa a mini usiaminii ukieza kuufungua uo ulimwengu wa Roho unaeza kua unachotaka kikubwa ni Imani yako tu Na Kuna key mbali mbali to za kufungulia huo mlango wengine wanaamini kupitia Jina la Yesu wengine manabii wengine wachungaji wengine ndo hao free mason wengine waganga yote kwa yote is All about kuamini
 
Wakuu hivi kuna Uhusiano gani kati ya church of satan na freemason?

Natanguliza shukran
 
Nakubaliana na wewe fremanson ipo lakini hizo story za kukamata dunia ni UONGO. Nadhani hata research zako labda unafanyia kwenye page za kisabato..
Ukiingia hata google tu utajua freemanson sio kama watu wanavyoiongelea na sio kama wewe unavyotudanganya hapo..

Mkuu, siku wakiitwa watu ambao Ni OPEN MINDED uwe miongoni mwao. Nimependa argument zako mkuu. Sasa ifike wakati watu tufanye reasoning tukiwa open minded na sio kulalia upande mmoja (Dini)
 
Back
Top Bottom