Ngungenge
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,863
- 3,192
Mtu anakuja kuwekeza unamuita beberuMkuu hii thread kuanzia kichwa tu umeandika upuuz. Hakuna sehemu Magufuli hakutaka kushirikiana na dunia. Swala ni maslai ya Tz mbele.Kuanza kufumua mikataba ya ovyo tayari ni kukataa kushirikiana na dunia?Kukataa Lockdown au Chanjo tayari hataki kushirikiana na dunia?
Diplomasia ya wapi