Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Hongera kwa uchambuzi mzuri mkuu .

Ukweli nikwamba ukishajiingiza kwenye hii biashara kwa nafasi yoyote siku ukijitoa au kukamatwa tayari kwao ninuksi nahivo, huangalia kipi kitakua cha faida kwao, Mtu kua hai au mty kufa.

Nakwakua mtu kufa inafaida mara mbili ya mtu kua hai ..basi lazima kitokee kikichotokea

Uchunguzi ufanyike vzuri otherwise yale yale ya Ngwea ...nipeni dili masela nikamate mahela.
 
Hongera kwa uchambuzi mzuri mkuu .

Ukweli nikwamba ukishajiingiza kwenye hii biashara kwa nafasi yoyote siku ukijitoa au kukamatwa tayari kwao ninuksi nahivo, huangalia kipi kitakua cha faida kwao, Mtu kua hai au mty kufa.

Nakwakua mtu kufa inafaida mara mbili ya mtu kua hai ..basi lazima kitokee kikichotokea

Uchunguzi ufanyike vzuri otherwise yale yale ya Ngwea ...nipeni dili masela nikamate mahela.
Asante sana kaka
 
Blown covers na double agents ni vitu viwili tofauti.
Blown cover ni ile hali ya muhusika kujulikana. Agents kugundulika ,hii ni mbaya sana maana huwa .ni kama ame fail. Kwenye training za CIA wanasema first rule "never get caught" kwa kiswahili sheria ya kwanza " usikamatwe".

Iwapo ikitokea hivyo inakuwa ni risk ,na inahatarisha mission aliyotumwa, so superiors wa huyo agent lazima wamuondoe kwenye mission ili ku prevent damage.

Double agents hawa ni spies wanao spy pande mbili zote bila kujulikana. They can be both arsenist and fireman at the same time bila kujulikana.
Sasa ni wapi nimesama kwamba sio vitu viwili tofauti ?

Mkuu ,nimekueleza tu blown cover ni kama double agents once caught or blown kifo ndio reward yake ..
 
Biashara ile sheria zake hazitofautiani sana na sheria za jeshi na vitengo nyeti vya usalama.

Kuna level ukiifikia huwezi tena jitoa kwenye kundi kwa sababu yeyote ile na ikibidi basi bora uuwawe tu.

Huo ndio ukweli ambao wengi hatutaki kuukubali.
 
Wewe mwanamke acha ujinga kwenye mambo ya msingi masuala ya maandamano hapa tena yanatoka wapi.

Na kwa taarifa yako hayo maandamano sidhani kama mtaweza kuyafanyaaa naaapa kabisaaa hayatoweza kufanyika na wewe utakuwa shahidi hapa kuwa dottoz aliandika.

Nakuambia tenaaa maandamano hayatafanyika na hata yakifanyika mtakijua nini kitatokea mtavunjwa miguu na mimi nitasupport mvunjwe miguuu woteeeeeee hata muuliwe tu maana mtaharbu amani ya Tanzania yetu.

Asante na meseji sent and delivery....
Mbona upo pande zote mbili?
Upo pande ya kufanyika na kutofanyika. Jiamini kijana. Watanzania bado hawajafikia umri wa kuandamana. Siku wakikua na kuufikia huo umri, wala hutaona tangazo. Utasikia tu ni wapi yamefanyika
 
Hivi hicho kifo ni kitu cha ajabu sana kiasi kwamba wa Tanzania au tuseme wana Darisalam kuahamishie akili zetu natural thing kiasi kwamba tunasahau 1.5 trillion ?? Tunasahau 26.4
Umesikia kauli ya mkuu jana kule magogoni? Huchelewi kujikuta upo kwa pilato.
 
Acha kuharibu biashara za watu wewe, kwahyo hizi hospital unazozijua ukienda kutibiwa hufi??? Mbona nyerere na wengine wengi wamefia hospital kubwa sana huko nje.


Halafu nani kakwambia kifo kinatokana na ugonjwa mkubwa na sio mdogo, kwa uelewa wako category ipi ni ya magonjwa makubwa au madogo. Kifo ni kifo tu hata kupaliwa na mate yako kunaweza kukuondoa.

Nakushangaa unanishambulia kuwa naharibu biashara za watu, nilichoseam ni hiki, NARUDIA TENA, Kwa level aliyokua Mama Ngoma ni hospitali yenye level ya KAWAIDA KABISA usitishwe na uzuri wa jengo,
 
Mkuu ni hivi. 1. Mtu akiwa sehemu A na akiugua ghafla, hukimbizwa hospital yoyote iliyo karibu na eneo A kupata huduma ya kwanza ndiyo baadae yanafuata mengine. 2. Mtu anaweza kuugua ugonjwa mdogo akaenda hospital ya kawaida sana lakini kwa sababu moja ama nyingine akafariki kwa ule ugonjwa ulioonekana kama mdogo. Na senario nyingine nyingi...

Wanasema Marehemu amelazwa siku 4, Je hawakuona mabadiliko yaliyohitaji RUFAA kwenye hospitali KUBWA??
 
Nakushangaa unanishambulia kuwa naharibu biashara za watu, nilichoseam ni hiki, NARUDIA TENA, Kwa level aliyokua Mama Ngoma ni hospitali yenye level ya KAWAIDA KABISA usitishwe na uzuri wa jengo,
Hujajibu maswali niliyokuuliza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom