dottoz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2012
- 1,510
- 874
Nilikumbuka jana baada ya kifo chake kuwa niliwah sikia tetesi tena kwa mtu wa karibu sanaa naye na pia kuna jamaa mmoja sharobalo sharobalo toka pande za ununio naye alimla nikawa siamini amini...Yap kuna mtu kaniambia kuwa mbona siku nyingii tu alikuwa anatumia dawa
