Hahahaha hauna cha kuongea kwenye uhalifu, iwe mauaji, kuichambua akili ya mhalifu, mhanga wa uhalifu, gangs, na hata extortions halafu kikawa kipya kwangu.Kutokana na uwezo wako mdogo wa kufikiri sikushangai hata kidogo. Ila ungepata muda kidogo ukafuatilia umafya wanaoufanya gangs walioendelea pale wanapodhulumiana au kusalitiana ungeweza kufikiri nje ya box.
Kumbuka kupigana risasi, kikatana mapanga, kuchomana visu, kulishana sumu za kuua within a short time ni mbinu dhaifu sana kwa watu wanaotaka kutoa uhai wako bila hata kuwa suspected. Watu walishabuni mbinu nyingi kukusababishia slow death na zimekuwa zikitumika. Pia kumbuka post mortam anafanya binadamu wa kawaida kabisa ambaye kwa nchi yetu hii kuyapindua matokeo haimchukui hata sekunde.
Ipo mifano mingi ili sio wakati wake saasa. Anyway R.I.P Masogange mm nitaendelea kufikiri nje ya box kwanza kabla sijaamua kulifunga jalada.
Blown covers ni kama double agents ...kifo hakiepukikinamna pekee ya kusolve "blown cover" agents ni kuwaua? kuna more than that nyuma ya pazia maana ashajulikana tokea muda kuhusu biashara yake hiyo the real question is "WHY NOW"??
R.I.P Agness
Kwani dada wa taifa anasemaje???
Tuienzi mizimu yetu.mkuu naanza kuelewa ni kwanini mizimu ya ukoo wenu illikuchagua uitunze.♀️♀️♀️♀️
Blown covers na double agents ni vitu viwili tofauti.Blown covers ni kama double agents ...kifo hakiepukiki
Hivyo hivyo nimonia ndugu yangu, usijipe tabu.Jana niliona Eatv wanasema ni nimonia sjui limonia(sijui inavotamkwa)
Mbaya zaid mizizi hii inaingia mpaka serikalini. Mtandao ni wa watu wazito sana.Ukitaka kujua hii biashara ya drugs abuse, ikoje tazama picha hizi
1:Falcon Rising
2:Get rich or die trn
3:hii nimeisahau kidogo
Hii biashara ina system ndefu sana, ina miziz mirefu sna
Acha kuzugaHaya basi,Kufa ni lazima.
Its the most certain thing a human being can be sure of.Alafu alilazwa siku nyingi.Amefariki kwa Typhoid.Just a natural death.Sidhani kama alikuwa na madhara tena kwenye biashara ile.Alidrop akaanza kujisogeza karibu na ibada.She was targeted alipokamatwa south.So hakuwa mtu sahihi tena kumpa kazi.
Std 7 hawezi kuelewa kilichoandikwaHivi kuna mtu hajaelewa kilichoandikwa?
Mkuu unataraji chochote kipya katika ripoti ya post mortem..Mtu alilazwa kisa typhoid na kupungukiwa damu.
Naamini hata ripoti ya post mortem bado.
Naamini hakuna aliyeiona.
Kisha unakuja uzi wa kulink kifo cha typhoid na drug dealing.
Amejulikana tangu enzi za Ngwea kufia South.
Kama aliwataja wangekua wameshakamatwa.
Let's not feed over deaths
Kama unakuwa hujaelewa kitu ni heri kukaa kimya... Ama kuuliza ueleweshwe kuliko kuleta ujuaji usio na mashikoSuala la Agnes ni suala sensitive sana sidhani kama ni sahihi kuja na fiction zako ambazo hazina mashiko yoyote. Watanzania tujaribu kuwa tunaongea kitu ambacho tuna ushahidi wa kutosha.
Mara typhoid mara pumu mara presha tuelewe lipiHaya basi,Kufa ni lazima.
Its the most certain thing a human being can be sure of.Alafu alilazwa siku nyingi.Amefariki kwa Typhoid.Just a natural death.Sidhani kama alikuwa na madhara tena kwenye biashara ile.Alidrop akaanza kujisogeza karibu na ibada.She was targeted alipokamatwa south.So hakuwa mtu sahihi tena kumpa kazi.
Hahahahahamkuu naanza kuelewa ni kwanini mizimu ya ukoo wenu illikuchagua uitunze.♀️♀️♀️♀️
Imebidi nichekeHata sijui nikujibu nini.