Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
Da Mange hajatoa tamko?
Pneumonia tena?Mshana katoa fact and fiction zake na hakuconclude. Wewe msomaji utajaza. Jiulize huyu binti alikosa pesa za kwenda Kairuki, Agha Khan, Muhimbili kuongezewa damu hata angepigia simu watu kumi si wangekwenda kumpeleka na angekosa damu fasta? Pneumonia inatibika especially kwa kijana kama yule siyo mtoto wa miaka mitatu au mzee wa miaka 90.
Wewe mwanamke acha ujinga kwenye mambo ya msingi masuala ya maandamano hapa tena yanatoka wapi.Mjomba!Nasemaje waacheni watu wafe kwa amani.Maandamano yasiwe chanzo cha kusimamisha any natural creation.Death is natural.
Hata tukijamba sasa itakuwa tunataka kuwatoa kwenye reli.
Weee usinichambie shoga angu kaa mbaliiWewe mwanamke acha ujinga kwenye mambo ya msingi masuala ya maandamano hapa tena yanatoka wapi.
Na kwa taarifa yako hayo maandamano sidhani kama mtaweza kuyafanyaaa naaapa kabisaaa hayatoweza kufanyika na wewe utakuwa shahidi hapa kuwa dottoz aliandika.
Nakuambia tenaaa maandamano hayatafanyika na hata yakifanyika mtakijua nini kitatokea mtavunjwa miguu na mimi nitasupport mvunjwe miguuu woteeeeeee hata muuliwe tu maana mtaharbu amani ya Tanzania yetu.
Asante na meseji sent and delivery....
Huyo itakuwa wenzake washampiga chini.Uliyosema ni kweli 100% Angefungua mdomo wangapi wangeokoka? Sema hivi bado nchi yetu ina watu Untouchable ambao wanaweza fanya lolote lakini polisi, takukuru au mtu yeyote akafumba macho. Huyu binti kweli alikaa kimya miaka hii yote tangu atoke SA?
Kumbuka akina Al Capone kule US walivyokuwa wakinyamazisha gang member wa upande wa pili. Madawa ni sensitive issue siyo tu TZ bali dunia nzima. Ukishaingia ujue roho yako umeikabidhi kwenye gang.
Inaoneka na Wew ni mmoja wakundi lake Mbona povu linakutoka sanaHaya basi,Kufa ni lazima.
Its the most certain thing a human being can be sure of.Alafu alilazwa siku nyingi.Amefariki kwa Typhoid.Just a natural death.Sidhani kama alikuwa na madhara tena kwenye biashara ile.Alidrop akaanza kujisogeza karibu na ibada.She was targeted alipokamatwa south.So hakuwa mtu sahihi tena kumpa kazi.
Nyie ...mnataka kifo cha Agnes's kiwe mjadalaMshana katoa fact and fiction zake na hakuconclude. Wewe msomaji utajaza. Jiulize huyu binti alikosa pesa za kwenda Kairuki, Agha Khan, Muhimbili kuongezewa damu hata angepigia simu watu kumi si wangekwenda kumpeleka na angekosa damu fasta? Pneumonia inatibika especially kwa kijana kama yule siyo mtoto wa miaka mitatu au mzee wa miaka 90.
Acha ubwege k wewe.Weee usinichambie shoga angu kaa mbalii
Dogo Na kijembe chake cha kupandia maharage anakupiga mkwara trekta, very funny😀 😀 😀 😀
Nawezaje kuingia kwenye page ya Dada wa Taifa?Insta. Kwenye page yake
Niliomba radhi lakini niliona kiwango cha unafiki wa binadamu.... Wale wale waliokuwa wanamsema vibaya sana ndio hao hao saivi wanajifanya wana machozi mengi na huruma nyingi sana.... Hayo hayamsaidii marehemu kufika peponiMm naona Agness amekufa kama watu wengine wa kawaida ....tukizungumzia kuhusu kuuza madawa ..mm naona wengi wanauza tena sana.
Kwaiyo kuuza madawa nimoja ya harakat za kimaisha Japo sio Rasmi.
Tuache watu waishi maisha wanayoyataka ...kwani kama kifo kipo tu uwez kukikwepa . As If utumii madawa na kuuza.
Mshana Jr umeeleweka lkn sio sawa kumdis Late Agnes