Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 13,052
- 18,012
Usisahau na Buibui!! Ila sisi wa mjini tulikuwa tunatumia karatasi flani hivi za kupasia!! Basi unakuta ina picha ya kijimaua,unanyunyiza maji kidogo kwenye shati Kisha unabandikia kipicha chako na kukipasi!! Oow! Those good old days!Na umeliweka kwenye wanga... mgongoni kuna malinda ya mraba, na mabegani pia....
Kuna wakati BLUEE ILIKUWA INAHUSIKA
