kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,250
- 13,257
Miaka hiyo ukisikia mtu anaitwa msomi ujue kichwani yuko smart, acha hawa waganga njaaView attachment 452280Miaka ileeee!!
Miaka hiyo ukisikia mtu anaitwa msomi ujue kichwani yuko smart, acha hawa waganga njaaView attachment 452280Miaka ileeee!!
View attachment 452280Miaka ileeee!!
Pale tabora tulikuwa na KAUTA, wengine walikuwa na Kagera Retco, Kauma, Shinyanga Retco, Kaudo, Mbeya Retco, sijui nchi hii tulijikwaa wapi tuKule Morogoro kwenda wilaya zake tulipanda MORETCO.
Dah.... Au unajibu "kwa soksi"Shati la shule lilikuwa linafuliwa na blue, kulikuwa na salamu "mambo" unajibu "mambo degree".

wewe urie urie tuDah.... Au unajibu "kwa soksi"![]()
![]()
Nami nilikuwa primary lakini darasa la mbele yako kidogoNilikuwa primary lakini darasa la mbele yako kidogo.
Dah... Mbona alianza mdogo Sana? Enzi hizo kuanza shule ilikuwa uwe na 19 au 20....kutokana na changamoto zake...Bila shaka utakua wa 72/73

Wakati vitabu vya Mr and Mrs Daudi vinaanza kuingia.Nami nilikuwa primary lakini darasa la mbele yako kidogo
ha ha ha,ndo maana umekuwa mzito kuelewa jamaa anamaanisha nini,nikajua tu wewe ni kizazi cha wakati wa jakaya,Ahaa nimekupata mkuu, binafsi kwakweli kipindi hiko nilikuwa kiunoni nimetulia
Enzi hizo miaka ya 1977 pale ukumbi wa Savannah maeneo ya Ubungo, ukimilikiwa na Mzee Makao, Maquis Du Zaire walikua wakipiga mitindo ya Sanifu na Ogelea piga mbizi baadaye ukumbi huo ukaitwa White House. Nakumbuka siku zele Maquis pia ilikuwa ikipiga kwenye ukumbi wa Mpakani, maeneo ya Mwenge. Ukumbi wa Mpakani baadaye ulibadilishwa jina kuwa Silent Inn. Kisha baadae pakaja kua Kanisa.Dah... Enzi hizo mie Suka wa daladala.... Nabadilisha tu madem wa jangwani.... Hata ndom zilikuwa zinapatikana kwa shida sana![]()
![]()
Vijana jazz usiwasahau. Pia unawakumbuka wakina Bichuka, Shabani Dede.Enzi hizo miaka ya 1977 pale ukumbi wa Savannah maeneo ya Ubungo, ukimilikiwa na Mzee Makao, Maquis Du Zaire walikua wakipiga mitindo ya Sanifu na Ogelea piga mbizi baadaye ukumbi huo ukaitwa White House. Nakumbuka siku zele Maquis pia ilikuwa ikipiga kwenye ukumbi wa Mpakani, maeneo ya Mwenge. Ukumbi wa Mpakani baadaye ulibadilishwa jina kuwa Silent Inn. Kisha baadae pakaja kua Kanisa.
Kamaree (a.k.a yake hiyo)Gery Nashoni
Mkuu....,Vijana jazz usiwasahau. Pia unawakumbuka wakina Bichuka, Shabani Dede.
Umenikumbusha mbali sana Manet, jamaa alikuwa na talent, nikakumbuka sherehe ya kuadhimisha miaka kumi ya umoja wa Vijana ilifanyika Moshi, nilikuwa Weruweru basi tulipata bahati ya kukaa mbele, nilimuoana Manet kwa mara ya mwisho.Mkuu....,
Sikuzile Kinondoni ilkuwa inawaka moto kwa Vijana siku ya Jumapili. Lang'ata ambayo baadae ilikuja kuwa Club ASET na sasa kanisa, palikuwa ndo ukumbi wa Dansi za kuanzia mchana kwa Bendi ya Maquis. Ukija hapa mbele Vijana Jazz Pambamoto awamu ya pili chini ya uongozi wa Hemed Maneti walikuwa nao kila Jumapili mchana wanaporomosha Dansi, na siku hiyo ilipewa jina Vijana Day. Kwa kweli Maquis walikuwa wanajaa watu na Vijana wanajaa watu. Kulikuweko na wapenzi wa kudumu wa Vijana kama ilivyokuwa Maquis. Wakati huo nyimbo kama Ngalula, Makumbele zilikuwa zinalia Lang'ata huku Vijana wanateremsha Shingo feni, Ngapulila, Azda. Ushindani huu ulilazimisha bendi kujitahidi kupiga vizuri na kwa displine au la wapenzi wanahamia bendi jirani. Kuna wakati Vijana Jazz walikuwa wanaanza muziki saa kumi na moja jioni na kupumzika saa tatu na nusu usiku kisha kumaliza dansi saa nne. Maquis wakawa wanaanza saa kumi na kumaliza saa tano usiku. Na wakaanza kuruhusu mtu yeyote atakayekuwa kapigwa muhuri wa kuruhusu kutoka nje ya ukumbi Vijana Jazz,aliruhusiwa kuingia Maquis bure. Vijana wakabadili ratiba na kuanza kupiga saa 9 mchana, kwa mtindo wa bandika bandua, yaani muziki nonstop. Na kufuta kupumzika hadi saa tano. Hiyo ndo ilikuwa raha kwa wapenzi. Vijana haikuwa na show wakati wa Maneti, Lakini show ilikuja baadae katika kukabili show ya Maquis ambayo ilikuwq nzuri sana chini ya mwalimu wao Wabangoi. Majina makubwa yalitawala madansi hayo Maquis kulikuwa na Dekula Vumbi kwenye solo,second solo Mbwana Cox (aliyetoka Vijana Jazz), banza Mchafu Bass, Nguza Viking, Adios, Tshimanga Assossa,Parashi Lukumbule Vijana Jazz kulikwa Shaaban Wanted, Hemed Maneti, Eddy Sheggy, Adam Bakari, Kida Waziri, Abou Semhando, Rashid Pembe na wengine wengi, basi raha kila jumapili ilikuwa kama tamasha
haha haya bana shikamoo kaka/babaha ha ha,ndo maana umekuwa mzito kuelewa jamaa anamaanisha nini,nikajua tu wewe ni kizazi cha wakati wa jakaya,
Dah... Yaani kama juzi tu chief...Enzi hizo miaka ya 1977 pale ukumbi wa Savannah maeneo ya Ubungo, ukimilikiwa na Mzee Makao, Maquis Du Zaire walikua wakipiga mitindo ya Sanifu na Ogelea piga mbizi baadaye ukumbi huo ukaitwa White House. Nakumbuka siku zele Maquis pia ilikuwa ikipiga kwenye ukumbi wa Mpakani, maeneo ya Mwenge. Ukumbi wa Mpakani baadaye ulibadilishwa jina kuwa Silent Inn. Kisha baadae pakaja kua Kanisa.

Dah... Enzi hizo kupata dem lazima u andike barua.... Wengine wamezitunza hadi Leo.... Na wewe unazo?wewe urie urie tu