Ilikuwa lazima BLOCK 89 Ifutwe/isimamishwe

Ilikuwa lazima BLOCK 89 Ifutwe/isimamishwe

Kufanya kitu huku unamuwaza sana mtu mwingine sio vizuri...

Wasafi ni platform kubwa ila upande wa redio imekosa watu wanaojua Radio programming..

Kuna muda pia watu wanapenda kusikiliza new blood..sasa wewe unatoa watangazaji wa times na kuwaleta kwako..changanya new blood watu wapate new taste..na wakishine unatengeneza mizizi yako

Ila pia biashara ya redio kibongo bongo kwa sasa ni ngumu kwani sponsors wamepunguza bajeti zao za matangazo..
True say
 
Wanatakiwa kuonesha ubunifu ndio wataweza ushindani sio kukurupuka kufuta vipindi na kuiga vipindi! Lazima Diamond akubali ana hitaji kuwa na vipaji vyake ambavyo atavikuza yeye mwenyewe


Sent from my iPhone using Tapatalk
Sio Diamond, itofautishe kwanza Wasafi media na Diamond as an Artist,
 
Sio kwamba wadhamini wanakuja haraka kiasi hicho kama ambavyo unajaribu kuonesha...lazima ujenge trust kwanza halafu kama ni wadhamini walikuwa nao kama Vodacom,pepsi !

Lazima tukubali kuwa kipindi cha The Switch itakuwa ngumu sana kupata wasikilizaji wengi !


Sent from my iPhone using Tapatalk
Wadhamini si kwamba wanakuja tu, wale huangalia muda unaorusha content yako, walaji ni watu wa aina gani, segment gani inafatiliwa sana, pia uwe na team nzuri ya marketing inayoweza kuibrand bidhaa ambayo wadhamini watavutiwa na creativity ya bidhaa yako na wao kuisponsor
 
Ushauri Wangum wA Mwisho kwa Diamond...

Aachane na huu upuuzi wa Sharing.

WASAFI ni brand yako.

Withdraw your shares... Start your OWN.

You have our back.
Too late
 
Ruttashobolwa mtu pekee aliekua anaweza tengeneza watu wake,wanamuziki wake

na kila mtu akawaamini na kuwasikiliza hata kama huyo alieaminiwa alikua akifanya makosa

ya wazi kabisa ila bado asingeondolewa ktk nafasi aliyowekwa ni Marehemu RUGE alishaambiwa

mengi sana kuhusu Mina Ally kuwa Hafai,Hawezi,Hajui,ila uwepo wa Mina Pale kwenye Amplifaya

ni kutokana na RUGE aliamini kila mtu anahitaji kupewa muda ili aaminiwe.Baada ya Ruge Kufariki

Mina Ally alilia sana na kusema kama si RUGE basi asingekua mtangazaji INTERTAINMENT industry

inahitaji mtu kama Ruge anae kuangalia miaka 10 mbele na sio hawa wasasa wanaokuangalia Hapo ulipo.
 
Joninijo wamemtema ?au amepelekwa kwenye kipindi kingine?

Jonijo anajua sema basi hajapata sehemu ya kutulia

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Nakubaliana na wewe 100% Jonijo anajua tena anajua

wasafi kama hawaoni kilicho ndani yake shauri lao asee
 
Wako kimya lakini mimi nilitegemea Lil Ommy ,Jonijo ,Cut na Ray Mshana wange unganishwa na kukipa nguvu kipindi cha block 88.9 halafu hawa wengine wangetafutiwa kipindi kingine


Sent from my iPhone using Tapatalk
Haya mambo ya kipndi kuwa na watangazaji wengi ni ujinga

Kipindi kiwe na watangazaji wawili wakizidi wawe wa 3 tu inatosha

sasa kipindi kina watangazaji wanne,halafu wakapata ugeni wa Group

wakaingia King's Music kwenye kipindi sijui nani ataongea nani hataongea

maana studio inajaa matokeo yake maswali muhimu yanajibiwa juu juu tu,kwenda na muda.
 
Kufanya kitu huku unamuwaza sana mtu mwingine sio vizuri...

Wasafi ni platform kubwa ila upande wa redio imekosa watu wanaojua Radio programming..

Kuna muda pia watu wanapenda kusikiliza new blood..sasa wewe unatoa watangazaji wa times na kuwaleta kwako..changanya new blood watu wapate new taste..na wakishine unatengeneza mizizi yako

Ila pia biashara ya redio kibongo bongo kwa sasa ni ngumu kwani sponsors wamepunguza bajeti zao za matangazo..
Unaweza pia kuwapa new talent na wakashindwa kudeliver mfano mzuri Ni mtu imara huyu jamaa ni wa ovyo Sana ajui kuuliza maswali,ana utoto mwingi
 
Huyo anashinda kuelewa kuwa diamond Ni msanii na Mara nyingi anakuwa hayupo Tanzania Anaenda kufanya show nje ya nchi pia anakuwa na majukumu mengine ya kimziki issue inakuja hapa ni Nani anasimamia akiwa yeye hayupo hapa ndio shida inapoanzia
 
Huyo anashinda kuelewa kuwa diamond Ni msanii na Mara nyingi anakuwa hayupo Tanzania Anaenda kufanya show nje ya nchi pia anakuwa na majukumu mengine ya kimziki issue inakuja hapa ni Nani anasimamia akiwa yeye hayupo hapa ndio shida inapoanzia
Akumbuke Diamond ni shareholder so si maamuzi yote atafanya yeye
 
Naskia Babaako Jonijoo katemwa,,mwenye full details atuletee apa kati,,#HatunaMuda.
 
Back
Top Bottom