Haahaa...Kwa mara ya kwanza naona data anaongea point daah
Very bad..Kulikuwa hakuna ulazima wa kuleta kipindi kama The switch labda walichotakiwa ni kuwaongezea nguvu the block 88.9 hii ndio shida ya kupenda vitu vilivyo tengenezwa.... sioni kipya kwa the switch na kamwe hawawezi kupata wasikilizaji wengi kama walio kuwa nao block 88.9
Nimekuelewa sana.Thats what happens if you become Over-competitive.
Hicho kituo they should relax n come with their own style.
Leo ametoka nje ya box.Kwa mara ya kwanza naona data anaongea point daah
Hivi na yule naye mtangazaji?[emoji3][emoji3], Ndio shida ya kuwapa kazi washkaji, mtangazaji gani ana kigugumiziKwenye michezo kuna Ricardo Momo nae mzinguaji tu
Leo ametoka nje ya box.
Unajiumiza.. Be real.Hata mie kuna saa huwa natamani kufanya hivyo ila maneno ya kashfa ya watu wa upande wake uwiii inabidi tu kubaki team hater
Haahaa...
Mondi ni Mwanamume. That will Stay.
Sema naona kuna ujinga unataka tokea ...
Let us wait.
Unajiumiza.. Be real.
Karibu USAFINI.
Una uhakika na hilo!?Hahahaha mondi hajawahi kuwa mwanamke bana. Tatizo sio yeye bali wanaomzunguka na hawezi kujichomoa kwao maana mizizi waliyonayo ni mikubwa mno kijana hawezi kuing'oa yote.
Nipo real sana. Hichi unachokiongea leo akina hater huwa tunakisema kila siku ujue,fatilia utaelewa. Usafini pamechafuka zamani.
Zamani'
!?
Which Zamani!?
Una uhakika na hilo!?
Ohoo.Kwani zamani huwa ni mbali basi ni kulingana na maana ya mtu na mtu
Let us go to bed.....Yeah mzizi wa kwanza lokole,mguse lokole utakua umegusa final say (nadhani unamfahamu)