Ilikuwa lazima BLOCK 89 Ifutwe/isimamishwe

Ilikuwa lazima BLOCK 89 Ifutwe/isimamishwe

Kipindi cha BLOCK 89 hakipo hewani kwa muda sasa, hii inaashiria nini..?, kimefutwa, kimebadilishwa muda...,

well, kwa mtazamo wangu mimi, BLOCK 89 Ilikuwa lazima ifutwe/kusimamishwa, Why..?

Mwanzo wa mwezi huu kilitambulishwa kipindi kipya cha THE SWITCH kikanirudisha nyuma nikahisi hiki kipindi si kinaweza fanana na kile kilichokuwa kikiruka Times FM miaka ya Nyuma, na kilisimamiwa na Raheem Da prince, Yasin Da King, kikiwa kimebase kwenye uchambuzi wa nyimbo za nje zaidi,

Kumbe hapana, THE SWITCH ya Wasafi fm, yenyewe imeambatana na usajili wa Lil Ommy, Ammy gals, Nick mills na Donald, mwenyeji wao Ray Mshana, kimebase kwenye burudani zaidi, na kuhoji wasanii,

Kwanini Wasafi walianzisha THE SWITCH wakati BLOCK 89 ilikuwepo..?
-BLOCK 89 Kilikuwa kipindi kinachofanana na THE SWITCH pia hakina watangazaji wenye majina kivile ilikuwa ni lazima kifutwe ili kiipishe THE SWITCH

-BLOCK 89 Haikuwa kwenye prime time kwahiyo kilikuwa hakiingizi pesa, tukumbuke PEPS & VODA walikuwa sio wazamini wa kile kipindi

-BLOCK 89 Ilikuwa lazima ifutwe ili kukipa nafasi kipindi cha THE SWITCH kiuzike kirahisi ukizingatia kinaruka prime time na kina watangazaji wenye ushawishi na majina

-BLOCK 89 Kilikuwa kipindi kinacholalamikiwa na wasikilizaji kuwa hakieleweki na anaekibeba ni mtangazaji mmoja tu, pia wengi wao hawafanyi research kabla ya kipindi,

-BLOCK 89 Ilikuwa lazima ifutwe kwakuwa watangazaji hawana chemistry na wengine walikuwa wapo wapo tu ili mradi liende, Main host alikuwa kama anazidiwa na co hosts waliokuwa wanabwabwaja bila mpangilio,

BLOCK 89 Haipo tena, na haiwezi kuwepo
Wamechemka Sanaa..

The Switch is nothing but crap.

Alafu.hivi The Bar Tender bado ipo kwa hewa!?
 
Nilikuwa nawaangalia Ijumaa kwenye WASAFI TV kwakweli wanaboa, makelele mengi mno kama kwenye kijiwe cha kahawa, halafu kuwa wengi nalo ni tatizo, inapaswa wasizidi watatu ili kusiwe na muingiliano. Ila yule Aliyah ni mtangazaji mzuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kelele tupuu.

Siwezi kusikiliza.
 
Kipi kilianza !? KulikuWa na ulazima gani wa kuleta same program.

Nanusa harufu ya ujinga hapa.
Ni kwasababu hiyo block 89 ilikua ni ugoro mtupu hakuna mdhamini alitaka kuweka pesa yake pale.
Yani inabidi pesa nhingi zitumike kuiba watangazaji wa radio zingine waje kufanya kazi kwa niaba yao kwasababu wameshindwa kudeliver.
 
Kipi kilianza !? KulikuWa na ulazima gani wa kuleta same program.

Nanusa harufu ya ujinga hapa.

Walichopaswa kufanya ni kitu kimoja tu, Ile The Switch iwe kwa wasanii wa africa na Duniani kote kama jina jinsi linavyojieleza (SWITCH), na ile Block 89 iwe kwa wasanii wa Tanzania (Local Infotainment) Pekee. Alafu ile switch iwe usiku na Block 89 iwe mchana. Sasa Hivyo vipindi vyote viko kwenye mstari mmoja hapo lazima wangefeli tu.
 
Walichopaswa kufanya ni kitu kimoja tu, Ile The Switch iwe kwa wasanii wa africa na Duniani kote kama jina jinsi linavyojieleza (SWITCH), na ile Block 89 iwe kwa wasanii wa Tanzania (Local Infotainment) Pekee. Sasa Hivyo vipindi vyote viko kwenye mstari mmoja hapo lazima wangefeli tu.
Hiyo block 89 imefanya utopolo since day one ndiyo maana wametafutiwa mbadala.
 
Walichopaswa kufanya ni kitu kimoja tu, Ile The Switch iwe kwa wasanii wa africa na Duniani kote kama jina jinsi linavyojieleza (SWITCH), na ile Block 89 iwe kwa wasanii wa Tanzania (Local Infotainment) Pekee. Alafu ile switch iwe usiku na Block 89 iwe mchana. Sasa Hivyo vipindi vyote viko kwenye mstari mmoja hapo lazima wangefeli tu.

Hapana Mkuu.. Bado haimake sense.

Nasisitiza kuna harufu ya ujinga. Tutaujua ukweli tu.
 
kiufupi ,Wasafi wanawatangazaji wabovu, pia niwazee sisi vijana tunapenda damu changa kama Queen Fifi wa Eatv the crues na King smash / awo wazee kina lily ommy miaka 40 wameshaishiwa ubunifu zaidi ya swaga zao zile zile wanapaswa kutangaza Taarifa ya habari sio kuhost show za vijana, pia hata xxl Adamu mchomvu na B dozen wamechoka/ Yaani sahvi bongo kimebaki kipindi kimoja cha nguvu tu The crues cha Frida Amani na king smash.
Niliwahi kusema hapa.. Sioni sababu yeyote ya kuhamisha watangazaji toka radio moja kwenda nyingine..
Kwanini tusiandae young blood..!?
Lets wait....

Kosa kubwa sana.
 
Kwa mara ya kwanza naona data anaongea point daah
Niliwahi kusema hapa.. Sioni sababu yeyote ya kuhamisha watangazaji toka radio moja kwenda nyingine..
Kwanini tusiandae young blood..!?
Lets wait....

Kosa kubwa sana.
 
Uko sahihi kwanza walinikera sana mno kuiba jina la kipindi kutoka radio waliyokuwepo mwanzo.
Pale THE SWITCH hamna kitu kabisa.
Nngekuwa mm ndo program manager ambao wangefit kile kipindi n caliber ya watangazaji kama fifi, sam misago,kennedy the remedy,mbaba vc,aaliyah na cate nao sio wabaya kiviiile..
Ubunifu sifuri afu eti wanajicompare na clouds au ea radio.
kiufupi ,Wasafi wanawatangazaji wabovu, pia niwazee sisi vijana tunapenda damu changa kama Queen Fifi wa Eatv the crues na King smash / awo wazee kina lily ommy miaka 40 wameshaishiwa ubunifu zaidi ya swaga zao zile zile wanapaswa kutangaza Taarifa ya habari sio kuhost show za vijana, pia hata xxl Adamu mchomvu na B dozen wamechoka/ Yaani sahvi bongo kimebaki kipindi kimoja cha nguvu tu The crues cha Frida Amani na king smash.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo mazuri sana. Sema me nakazia, sio uishie tu kunawa mikono, bali kunawa kwa maji safi yanayotiririka na sabuni takribani sekunde ishirini.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] nakubali

One love
 
Mzee kweli wale wasichana na yule mshikaji walikuwa hawaeleweki walikuwa wanajichanganya sana, pili kuna yule jamaa achana na johnjo alikuwa anawauliza wasanii maswali ya kuwadharau kinoma kwa mfano interview ya ENOCK BELLA aisee jamaa alikuwa anamhoji kwa dharau na kumkejeli.
Nimekumbuka tena kwenye hichi kipindi cha wazee wa bango walimuhoji Johmakini, wakaanza kumvaa swali juu ya swali la kuuzi hadi Joh akawa anawajibu kwa ukali hadi wakarudi kwenye line ila ukimtazama johmakini kama aliwamind akajikaza.
Siku hiyo mtu imara alikua mpole kidogo coz anajuana na Joh way back anajua jamaa ni mtu wa kureact ukimsemesha asivyovipenda.
 
Back
Top Bottom