Ile ndoa imesambaratika!

Ile ndoa imesambaratika!

Ulishaambiwa mwanamke ni kiumbe kinachoongozwa zaidi na hisia kuliko logic. Anaweza akawa analifahamu hili unalosema hapa lakini akaamua kulipuzia tu sababu hisia zake zinamwambia aende tu huko kwa huyo hawala yake hata kama asipomuoa sawa tu.

Mwanamke unaweza ukamuuliza 1+1 akakwambia jibu ni 3 na anafahamu kabisa jibu sahihi ni 2, lakini kutokana na hisia zake zinavyomtuma kwa wakati huo atakwambia "Kwanini tusifanye tu jibu liwe 3 jamani"

Ndivyo walivyo na wanaongoza kujutia maaumuzi yao, maana siku zote hisia huwa zinadanganya na zinapoteza.
Hivi kwanini umeniita Malaya mkuu?
 
Hahahaha, Kijo Bisimba tulia tulia.
Sema Uzinzi sio kitu cha kujisifia na wala sio sifa ya mwanaume. Basi tu huwa tunateleza, lakini hatutakiwi kujisifia.
Afadhali wewe siyo wale wengine wanaosema, "mwanaume rijali hawezi kuwa na mwanamke mmoja" yaani wanajihalalisha kwa sifa za kipumbavu mwisho wa siku wanaacha watoto bila wazazi kwa magonjwa ya kuleteana.
 
Hayo ndo majibu yangu kwako sijui wapi namtetea huyo dada!?
Punguza mfumo dume siyo kila mada unayohusu mwanamke uje kumkandia.

Hapo hiyo badilikeni mnaumiza sana wake zenu,ndiyo wenye akili wamenielewa ni kwa vipi wanawake wanaumizwa na wanaume na kupelekea kuishi maisha wasiyoyataka, Hayo maisha siyo lazima yawe ya ukahaba(wanaume wenye akili tu na siyo wavulana ndiyo wataelewa hapo)
@Koriee na @linguistic!
Mmeanzisha uzi mwingine ndani ya uzi huu. Hoja ni Ukahaba na si kingine. Tatizo ni kuwa mnaleta HARAKATI ktk hoja isiyo.

Someni vyuzi zote 2 ili mjue ni kwanini ndoa umesambaratika. Mume alipojua hali alimuonya mke. Mke akaendeleza mawasiliano na bahati mbaya kwake, mume alidukua na niliweka ushahidi. Sasa mnatetea kuwa kossa ni la Mwanamume tu.

Kuna shida mahali ktk ujengaji wa hoja zenu kutokana na mahaba ktk FENIMISM.

BazaI
 
@Koriee na @linguistic!
Mmeanzisha uzi mwingine ndani ya uzi huu. Hoja ni Ukahaba na si kingine. Tatizo ni kuwa mnaleta HARAKATI ktk hoja isiyo.

Someni vyuzi zote 2 ili mjue ni kwanini ndoa umesambaratika. Mume alipojua hali alimuonya mke. Mke akaendeleza mawasiliano na bahati mbaya kwake, mume alidukua na niliweka ushahidi. Sasa mnatetea kuwa kossa ni la Mwanamume tu.

Kuna shida mahali ktk ujengaji wa hoja zenu kutokana na mahaba ktk FENIMISM.

BazaI
Naona hadi umechapia jina lako hapo chini mkuu
 
@Koriee na @linguistic!
Mmeanzisha uzi mwingine ndani ya uzi huu. Hoja ni Ukahaba na si kingine. Tatizo ni kuwa mnaleta HARAKATI ktk hoja isiyo.

Someni vyuzi zote 2 ili mjue ni kwanini ndoa umesambaratika. Mume alipojua hali alimuonya mke. Mke akaendeleza mawasiliano na bahati mbaya kwake, mume alidukua na niliweka ushahidi. Sasa mnatetea kuwa kossa ni la Mwanamume tu.

Kuna shida mahali ktk ujengaji wa hoja zenu kutokana na mahaba ktk FENIMISM.

BazaI
Hapana ndugu majibu yangu nilikuwa na mjibu lizarazu alivyokuwa anasema na kuuliza,kama ni mada kaibadili lizarazu.
Na pia wengi tu wameongelea hili suala kimaisha yetu ya kila siku zaidi.
 
@Koriee na @linguistic!
Mmeanzisha uzi mwingine ndani ya uzi huu. Hoja ni Ukahaba na si kingine. Tatizo ni kuwa mnaleta HARAKATI ktk hoja isiyo.

Someni vyuzi zote 2 ili mjue ni kwanini ndoa umesambaratika. Mume alipojua hali alimuonya mke. Mke akaendeleza mawasiliano na bahati mbaya kwake, mume alidukua na niliweka ushahidi. Sasa mnatetea kuwa kossa ni la Mwanamume tu.

Kuna shida mahali ktk ujengaji wa hoja zenu kutokana na mahaba ktk FENIMISM.

BazaI
Hata usiangaike now sana mkuu.

Tembelea ile kauli tu "birds of the same feathers*

Huyo mama Korie na mwenzake wanatetea ukahaba tangu mwanzo kwenye huu uzi, halafu ukipingana nao wanaanza kulia lia na kuleta objections za mfumo dume.
 
Majuzi nilikuja na uzi huu

Ile ndoa ni kama imekwisha kwani wametengana (ndoa ya Kikristo). Hiyo ni kutokana na mume kuona haina haja ya kwenda mahakamani kwani ni kujidhalilisha tu. Ukweli ni kujidhalilisha maana kuna msemo wa kizungu unadai "YOU HAVE FAILES AS A MAN, IF ANOTHER MAN MAKES YOUR WOMAN HAPPY!." Mvurugano umetokea tarehe 26/09/2019 ambapo mume alimuita Baba Mkwe na kumuonesha ushahidi hasa wa walivyokuwa wakipigiana simu hata baada ya mume kungundua ambapo wakati mwingine walikuwa wakiongea akiwepo (hajui walichokuwa wakiongea).

Aliyesambaratisha ndoa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria na Idara ya Sheria za Uchumi. Mhadhiri ana shahada 4 za sheria ambazo ni
1. LLB ya UDSM
2. LLM ya UDSM
3. LLM ya Notre Dame
4. PhD ya UDSM
Mhadhiri ni Mpare akiwa kakulia Arusha ktk kijiji cha Lerai - Arumeru ambako nduguze bado wanaishi.

Mume anawatakia maisha mema iwapo wataendeleza uhusiano wa kimapenzi.

Bazazi!
Bazazi kwaiyo uko single Sasa?
 
@tozi25

Mbona taarifa za wazi hizo? Kwa mtu makini, ni rahisi kuzipata. Mkuu Jina, namba za simu na pichaze zipo. Ila kwa kuwa ndoa imesambaratika, sioni umuhimu wa kuzianika.

Bazazi
Kwani huyo mama aligegedwa?
 
Umalaya ulikuwepo kwa jinsia zote mbili tangu enzi za biblia hivyo hakuna jinsia inayoiiga jinsia nyingine, ujumbe hapa ni kwamba wanaume waache kujihalalishia umalaya maana hakuna jinsia inayotakiwa kufanya umalaya kwa sababu yoyote ile.
Basi hongereni sana kwa kushindana na waume zenu kufanya umalaya.

Hope this meme puts simile on that Adulterous face of yours.
Screenshot_20191009_190121.jpeg
 
Kwani huyo mama aligegedwa?
Ushahidi wa moja kwa moja hakuna. Ila wamekutana sana Dar na Arusha. Kilichosambaratisha ndoa ni Mke kuendeleza mawasiliano na Mhadhiri wakati mwingine mbele ya Mume. Mume alipofanikiwa kudukua, ndo akaona isiweshida, kila mtu aafiki mastakim yale. Ila baba mkwe alishirikishwa

Bazazi
 
Mfumo dume kuwa mwanamke hana mali. Yaan mwanamke akiolewa hata akiwa na kazi na anachangia pato la familia mchango wake huwa hauonekani...

Wanaoingia kwenye ndoa na wanafanya Shughuli ya kuwaingizia kipato lazima wawe makini na utaratibu wa kununua asset au uwekezaji wowote wa familia.

Tatizo mchango wa mwanamke unaishia chooni. Mbona wale wanaoishi wenyewe wanafanya maendeleo yao?!?

Mabinti muamke acheni kuabudu ndoa wakati wanaume hawaoni kama ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu.
Halafu wanawaza kizamani eti kampiga chini.. Unampiga chini mtu mwenye hela yake? Ndoa kitugani buana Kama hakuna amani?? Full umalaya mwanaume anajiona hawezi kutii Kiapo cha ndoa, basi bora afanye kwa adabu,... Anafanya waziwazi..

Nasema hiviiii wanaume mjitathmini, enzi ya mwanamke kuitwa malaya imeisha... Endeleeni kuonea wanawake masikini au wale wasiojielewa.

Tuna mioyo ya nyongo pia Kama mkiamua kuwa wanandoa chepukeni kwa nidhamu tafadhali... Maana mkigeuziwa kibao hamchelewi kupata stroke
Chanzo nini? Usikute mwanamke alishaichoka ndoa na kufanya mahusiano haramu waziwazi ni kutaka kulipiza kisasi. Ndoa zina majaribu makubwa. Mwanamke akifika mwisho wa uvumilivu anaona heri aondoke Kama anaweza kujikimu. Wanakaa kuvumilia wanaume malaya sio kwa kupenda wakati mwingine ni umasikini tu
Huu upuuzi ndio unaowacost ukikutana na mke anayejielewa..

Kwenye ndoa watu wanaapa kuwa waaminifu to each other sasa wewe umetoa wapi ruhusa ya UZINZI?!!?? Bora Usioe vinginevyo unateseka tu.

Nnachojua wanawake kwa wanaume tunahitaji ndoa lakni wanaume wanadhani wanawake ndio wanapaswa kubembeleza ndoa hata kama ni ya manyanyaso na usaliti..

Badilikeni wanaume mnatuumiza Sana
Mkuu mie nimeolewa na bado nipo kwenye ndoa ya miaka mingi.... Lkn mara nyingi Kama hayajakukuta utaona Kama Unaishi paradise umezungukwa na malaika. Yakikukuta ndio unaona the other side of your spouse and the other side of marriage.

Na hii ni kwa wote mme na mke. Na ukiujua ukweli unakuwa huru na unaweza kuamua chochote kwa uhuru...

Moyo unageuka jiwe. Kua uyaone mkuu
Kazi ipo!!
 
Ushahidi wa moja kwa moja hakuna. Ila wamekutana sana Dar na Arusha. Kilichosambaratisha ndoa ni Mke kuendeleza mawasiliano na Mhadhiri wakati mwingine mbele ya Mume. Mume alipofanikiwa kudukua, ndo akaona isiweshida, kila mtu aafiki mastakim yale. Ila baba mkwe alishirikishwa

Bazazi
Huyo mume fwala tu hajitambui.unadukua simu ya mtu kwanini? Mwanamke anatongozwa kila siku.
 
Mali hazijagawanywa kwani hakuna talaka. Lakini mwanamke ameondoka na mali alizonunuwa kama gari dogo, nyumba ya pili ambayo n ndogo, nguo binafsi na baadhi ya vyombo vya ndani

Bazazi
ameondoka na papuchi au ameiacha ?
 
Back
Top Bottom