Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,331
- 7,885
Don't stress yourself out that mad woman.@linguistics dadangu!
Hujasoma na kuelewa nilichoandika. Nimesema mwenye nguvu kubwa kiuchumi ni MUME! Mali alizoondoka nazo MKE kwa 90% zimenunuliwa na Mume. Hiyo inamaanisha Mke amechangia 10%.
Pia kumbuka mke ni mfanyakazi ila mshahara wake sio mkubwa. Vilevile ktk uzi wa kwanza nilisema alisomeshwa na mume. Nadhani unataka kuleta uanaharakati ktk eneo silo. Mke aliamua tu kwa hiari yake kupasha kiporo moto.
Labda na nadhani umenipata Mkuu
Bazazi!
