Ile ndoa imesambaratika!

Ile ndoa imesambaratika!

Kwenye kesi hii, mwanaume ndo mwenye uchumi bora. Zaidi ya 90% ya mali alizoondoka nazo mke likiwemo gari, alinunua mume

Bazazi
Mfumo dume kuwa mwanamke hana mali. Yaan mwanamke akiolewa hata akiwa na kazi na anachangia pato la familia mchango wake huwa hauonekani...

Wanaoingia kwenye ndoa na wanafanya Shughuli ya kuwaingizia kipato lazima wawe makini na utaratibu wa kununua asset au uwekezaji wowote wa familia.

Tatizo mchango wa mwanamke unaishia chooni. Mbona wale wanaoishi wenyewe wanafanya maendeleo yao?!?

Mabinti muamke acheni kuabudu ndoa wakati wanaume hawaoni kama ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu.
 
Mfumo dume kuwa mwanamke hana mali. Yaan mwanamke akiolewa hata akiwa na kazi na anachangia pato la familia mchango wake huwa hauonekani...

Wanaoingia kwenye ndoa na wanafanya Shughuli ya kuwaingizia kipato lazima wawe makini na utaratibu wa kununua asset au uwekezaji wowote wa familia.

Tatizo mchango wa mwanamke unaishia chooni. Mbona wale wanaoishi wenyewe wanafanya maendeleo yao?!?

Mabinti muamke acheni kuabudu ndoa wakati wanaume hawaoni kama ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu.
Simple acheni kuolewa na muishi wenyewe kama mnaona ndoa ni manyanyaso. Tena msijihusishe na wanaume kabisa kama mnataka ile raha tumieni dildo tu hili kuonesha kweli hamna uhitaji wowote na wanaume.
 
Tatizo wanaume wanajua wanawake wanatetemekea Sana ndoa..
Ndio maana mwanaume akioa tu anaanza kuchepuka bila woga na mke akilalamika anaambiwa atulie kwa kuwa ameshaolewa ana shida gani
Kwa comments kama hizi naamini wewe utakuwa ni muachika au old cargo mmoja matata sana. Na furaha yako ni kuona wanawake wengi wanaishi maisha yanayofanana na yako.
 
Oh Bazazi pole sana,
Ila saikolojia ya mapenzi wanaume wengi hawaitambui, huyo mwanamke sio kwamba anampenda yule mwanasheria ni mihemko tu na kuna feeling ya penzi jipya anaitamani maana kwa kweli kwenye ndoa ya kamuda karefu kuna vitu huwa kihisia vinapotea yanabaki mazoea zaidi.
So unashauri jamaa angemruhusu afuate hisia zake?
 
Kwenye kesi hii, mwanaume ndo mwenye uchumi bora. Zaidi ya 90% ya mali alizoondoka nazo mke likiwemo gari, alinunua mume

Bazazi

nimesoma thread lote...nimetoka kapa

kuna umuhimu wa connection;ila 'chomoa betri'
 
Majuzi nilikuja na uzi huu

Ile ndoa ni kama imekwisha kwani wametengana (ndoa ya Kikristo). Hiyo ni kutokana na mume kuona haina haja ya kwenda mahakamani kwani ni kujidhalilisha tu. Ukweli ni kujidhalilisha maana kuna msemo wa kizungu unadai "YOU HAVE FAILES AS A MAN, IF ANOTHER MAN MAKES YOUR WOMAN HAPPY!." Mvurugano umetokea tarehe 26/09/2019 ambapo mume alimuita Baba Mkwe na kumuonesha ushahidi hasa wa walivyokuwa wakipigiana simu hata baada ya mume kungundua ambapo wakati mwingine walikuwa wakiongea akiwepo (hajui walichokuwa wakiongea).

Aliyesambaratisha ndoa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria na Idara ya Sheria za Uchumi. Mhadhiri ana shahada 4 za sheria ambazo ni
1. LLB ya UDSM
2. LLM ya UDSM
3. LLM ya Notre Dame
4. PhD ya UDSM
Mhadhiri ni Mpare akiwa kakulia Arusha ktk kijiji cha Lerai - Arumeru ambako nduguze bado wanaishi.

Mume anawatakia maisha mema iwapo wataendeleza uhusiano wa kimapenzi.

Bazazi!

Wakiachana/wakutengana, huyo mwanamke hatakuwa salama kwani uthamani wake ni pale alipokuwa ameolewa. Wakishaachana, basi huyo aliye mfanya waachane ataona hana tena mwelekeo na msimamo.
 
Back
Top Bottom