Ile ndoa imesambaratika!

Ile ndoa imesambaratika!

Au usiolewe kabisa kama unahisi mumeo atachepuka halafu na wewe hutaki kuishi na mchepukaji
Huu upuuzi ndio unaowacost ukikutana na mke anayejielewa..

Kwenye ndoa watu wanaapa kuwa waaminifu to each other sasa wewe umetoa wapi ruhusa ya UZINZI?!!?? Bora Usioe vinginevyo unateseka tu.

Nnachojua wanawake kwa wanaume tunahitaji ndoa lakni wanaume wanadhani wanawake ndio wanapaswa kubembeleza ndoa hata kama ni ya manyanyaso na usaliti..

Badilikeni wanaume mnatuumiza Sana
 
Chanzo nini? Usikute mwanamke alishaichoka ndoa na kufanya mahusiano haramu waziwazi ni kutaka kulipiza kisasi. Ndoa zina majaribu makubwa. Mwanamke akifika mwisho wa uvumilivu anaona heri aondoke Kama anaweza kujikimu. Wanakaa kuvumilia wanaume malaya sio kwa kupenda wakati mwingine ni umasikini tu
Nimeupenda sana huu mstari wa mwisho.
 
Kwa comments kama hizi naamini wewe utakuwa ni muachika au old cargo mmoja matata sana. Na furaha yako ni kuona wanawake wengi wanaishi maisha yanayofanana na yako.
Mkuu mie nimeolewa na bado nipo kwenye ndoa ya miaka mingi.... Lkn mara nyingi Kama hayajakukuta utaona Kama Unaishi paradise umezungukwa na malaika. Yakikukuta ndio unaona the other side of your spouse and the other side of marriage.

Na hii ni kwa wote mme na mke. Na ukiujua ukweli unakuwa huru na unaweza kuamua chochote kwa uhuru...

Moyo unageuka jiwe. Kua uyaone mkuu
 
Mawazo ya kijinga kijinga tu.
Hata ndoa umewahi ionja.
Halafu wanawaza kizamani eti kampiga chini.. Unampiga chini mtu mwenye hela yake? Ndoa kitugani buana Kama hakuna amani?? Full umalaya mwanaume anajiona hawezi kutii Kiapo cha ndoa, basi bora afanye kwa adabu,... Anafanya waziwazi..

Nasema hiviiii wanaume mjitathmini, enzi ya mwanamke kuitwa malaya imeisha... Endeleeni kuonea wanawake masikini au wale wasiojielewa.

Tuna mioyo ya nyongo pia Kama mkiamua kuwa wanandoa chepukeni kwa nidhamu tafadhali... Maana mkigeuziwa kibao hamchelewi kupata stroke
 
Single mom.
Mfumo dume kuwa mwanamke hana mali. Yaan mwanamke akiolewa hata akiwa na kazi na anachangia pato la familia mchango wake huwa hauonekani...

Wanaoingia kwenye ndoa na wanafanya Shughuli ya kuwaingizia kipato lazima wawe makini na utaratibu wa kununua asset au uwekezaji wowote wa familia.

Tatizo mchango wa mwanamke unaishia chooni. Mbona wale wanaoishi wenyewe wanafanya maendeleo yao?!?

Mabinti muamke acheni kuabudu ndoa wakati wanaume hawaoni kama ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu.
 
Single mom.
Mkuu aymatu mimi ni mke na mama wa watoto watatu wakubwa. Nna uzoefu katika ndoa, kuanzia kuwa mnyenyekevu, muoga na mwisho mjeuri coz hakuna jema.

So fikiri nje ya box. Uwe mkweli, wanaume mnaumiza sana wake zenu

Najua sio rahisi kuyaona na kuyajua mambo ya ndoa labda kwa umri mdogo lkn taratibu utaujua ukweli km ukiwa unayaangalia mambo UNBIASED
 
Cha ajabu huyo mwanamke aliyeachwa na yeye atakuja na ule usemi wetu pendwa wa "all men are dogs"
Tutamuonesha picha ya mbwa ili atuoneshe baba yake yupo wapi?
FB_IMG_1570131839495.jpeg
 
Tatizo wanaume wanajua wanawake wanatetemekea Sana ndoa..
Ndio maana mwanaume akioa tu anaanza kuchepuka bila woga na mke akilalamika anaambiwa atulie kwa kuwa ameshaolewa ana shida gani
Dawa acheni kuolewa ili wanaume tuwatafune bila hofu yakuonwa vibaya na jamii,tupange mnavyoweza,nasisi tutakubali,ila tutaoa wale ambao wako tayari kuvumilia nakurekebishana ndani ya ndoa,nyie ambao hamuwezi kuolewa msiolewe ili tuwachakate vilivyo.Nina hamu na wadada ambao wanajifanyaga wanaharakati na hawataki kuwa submissive,yaani nawala bila hofu yakufumaniwa.Achika.
 
Tatizo wanaume wanajua wanawake wanatetemekea Sana ndoa..
Ndio maana mwanaume akioa tu anaanza kuchepuka bila woga na mke akilalamika anaambiwa atulie kwa kuwa ameshaolewa ana shida gani
@linguistics dadangu!
Hujasoma na kuelewa nilichoandika. Nimesema mwenye nguvu kubwa kiuchumi ni MUME! Mali alizoondoka nazo MKE kwa 90% zimenunuliwa na Mume. Hiyo inamaanisha Mke amechangia 10%.

Pia kumbuka mke ni mfanyakazi ila mshahara wake sio mkubwa. Vilevile ktk uzi wa kwanza nilisema alisomeshwa na mume. Nadhani unataka kuleta uanaharakati ktk eneo silo. Mke aliamua tu kwa hiari yake kupasha kiporo moto.

Labda na nadhani umenipata Mkuu

Bazazi!
 
Dawa acheni kuolewa ili wanaume tuwatafune bila hofu yakuonwa vibaya na jamii,tupange mnavyoweza,nasisi tutakubali,ila tutaoa wale ambao wako tayari kuvumilia nakurekebishana ndani ya ndoa,nyie ambao hamuwezi kuolewa msiolewe ili tuwachakate vilivyo.Nina hamu na wadada ambao wanajifanyaga wanaharakati na hawataki kuwa submissive,yaani nawala bila hofu yakufumaniwa.Achika.
Kwahiyo unaenda kumdhihaki Mungu kwa kuapa kuwa muaminifu halafu unachepuka Kama upo kwenye mashindano 😂 😂 😂 hongera Ila muonee huruma watoto wenu pia kwa kuwasababishia malezi ya single mother au ya mama wa kambo... Mabadiliko yanaanza na wewe kaka.
 
@linguistics dadangu!
Hujasoma na kuelewa nilichoandika. Nimesema mwenye nguvu kubwa kiuchumi ni MUME! Mali alizoondoka nazo MKE kwa 90% zimenunuliwa na Mume. Hiyo inamaanisha Mke amechangia 10%.

Pia kumbuka mke ni mfanyakazi ila mshahara wake sio mkubwa. Vilevile ktk uzi wa kwanza nilisema alisomeshwa na mume. Nadhani unataka kuleta uanaharakati ktk eneo silo. Mke aliamua tu kwa hiari yake kupasha kiporo moto.

Labda na nadhani umenipata Mkuu

Bazazi!
Nimekupata mkuu
 
Back
Top Bottom