linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,732
- 4,393
Huu upuuzi ndio unaowacost ukikutana na mke anayejielewa..Au usiolewe kabisa kama unahisi mumeo atachepuka halafu na wewe hutaki kuishi na mchepukaji
Kwenye ndoa watu wanaapa kuwa waaminifu to each other sasa wewe umetoa wapi ruhusa ya UZINZI?!!?? Bora Usioe vinginevyo unateseka tu.
Nnachojua wanawake kwa wanaume tunahitaji ndoa lakni wanaume wanadhani wanawake ndio wanapaswa kubembeleza ndoa hata kama ni ya manyanyaso na usaliti..
Badilikeni wanaume mnatuumiza Sana