Wanawake ni akina nani?Kuna mama na kuna mabinti zetu pia. Huu ni uono hafifu.
Mkuu Bazazi kuchepuka hakuzuiwi na pesa wala umaarufu. Huyo mwanaume hata awe na mchango wa asilimia 100 haitoshi kumzuia mwanamke asichepuke kama mwanamke aliingia kwenye ndoa sababu tuu ana uwezo kiuchumi ilihali hana upendo wala mapenzi kwakeKwenye kesi hii, mwanaume ndo mwenye uchumi bora. Zaidi ya 90% ya mali alizoondoka nazo mke likiwemo gari, alinunua mume
Bazazi
Ni kweli mama D. Mke alihudumiwa kwa kila kitu lakini alipokiona kiporo, akakitamani na kukipasha moto. Hatari sanaMkuu Bazazi kuchepuka hakuzuiwi na pesa wala umaarufu. Huyo mwanaume hata awe na mchango wa asilimia 100 haitoshi kumzuia mwanamke asichepuke kama mwanamke aliingia kwenye ndoa sababu tuu ana uwezo kiuchumi ilihali hana upendo wala mapenzi kwake
Inasemekana huyu muhadhiri amefariki siku za karibu.Majuzi nilikuja na uzi huu
![]()
Ndoa Inavunjika Hiyo!
Waungwana, Bazazi kasimuliwa na mdau wake jinsi ndoa yake inavyoyumba. Kafumania simu ya mke ikiwa na sms za wasap na za kawaida. Anawasiliana na mpenzi wake wa pili baada ya kiwambo kuondolewa. Ni sms za mahaba hasa tena mazito. Mume kambana mkewe, mke hafunguki. Ana ahidi atavunja mawasiliano...www.jamiiforums.com
Ile ndoa ni kama imekwisha kwani wametengana (ndoa ya Kikristo). Hiyo ni kutokana na mume kuona haina haja ya kwenda mahakamani kwani ni kujidhalilisha tu. Ukweli ni kujidhalilisha maana kuna msemo wa kizungu unadai "YOU HAVE FAILES AS A MAN, IF ANOTHER MAN MAKES YOUR WOMAN HAPPY!." Mvurugano umetokea tarehe 26/09/2019 ambapo mume alimuita Baba Mkwe na kumuonesha ushahidi hasa wa walivyokuwa wakipigiana simu hata baada ya mume kungundua ambapo wakati mwingine walikuwa wakiongea akiwepo (hajui walichokuwa wakiongea).
Aliyesambaratisha ndoa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria na Idara ya Sheria za Uchumi. Mhadhiri ana shahada 4 za sheria ambazo ni
1. LLB ya UDSM
2. LLM ya UDSM
3. LLM ya Notre Dame
4. PhD ya UDSM
Mhadhiri ni Mpare akiwa kakulia Arusha ktk kijiji cha Lerai - Arumeru ambako nduguze bado wanaishi.
Mume anawatakia maisha mema iwapo wataendeleza uhusiano wa kimapenzi.
Bazazi!
BazaziNi kweli mama D. Mke alihudumiwa kwa kila kitu lakini alipokiona kiporo, akakitamani na kukipasha moto. Hatari sana
Bazazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Haya???Inasemekana huyu muhadhiri amefariki siku za karibu.
Niliposikia kifo chake nikaukumbuka huu uzi.
Nimeona aisee. A R.I.PInasemekana huyu muhadhiri amefariki siku za karibu.
Niliposikia kifo chake nikaukumbuka huu uzi.
Yes dear
DahYes dear
Including her fatherCha ajabu huyo mwanamke aliyeachwa na yeye atakuja na ule usemi wetu pendwa wa "all men are dogs"
Baba hapana😁😁😁Including her father
Licha ya hayo tu nani anataka kulipa bills? Saluni, kodi na mengineyo.Wakiachana/akutengana, huyo mwanamke hatakuwa salama kwani uthamani wake ni pale alipokuwa ameolewa. Wakishaachana, basi huyo aliye mfanya waachane ataone hana tena mwelekeo na msimamo.
Umesahau kusema kuwa wanajua kudekeza wanawake pia.Umewaza kama mimi .
Vijana wanasema chuma chakavu.
Hahahah atakuwa alijifunza the hardway! Mabadiliko hayaji kizembe lazma lilimkuta jambo akaamua kurudi katika mstari.😆Siku hizi umebadilika umeache zile harakati za kifeminist
Mke wa mtu sumuInasemekana huyu muhadhiri amefariki siku za karibu.
Niliposikia kifo chake nikaukumbuka huu uzi.
Jamaa alionja sumu kwa kuirambaNimeona aisee. A R.I.P
Sidhani kama ndo sababu ya kifo chake.Mke wa mtu sumu
Kama haijavunjwa na mahakama huyo bado mkeweMajuzi nilikuja na uzi huu
![]()
Ndoa Inavunjika Hiyo!
Waungwana, Bazazi kasimuliwa na mdau wake jinsi ndoa yake inavyoyumba. Kafumania simu ya mke ikiwa na sms za wasap na za kawaida. Anawasiliana na mpenzi wake wa pili baada ya kiwambo kuondolewa. Ni sms za mahaba hasa tena mazito. Mume kambana mkewe, mke hafunguki. Ana ahidi atavunja mawasiliano...www.jamiiforums.com
Ile ndoa ni kama imekwisha kwani wametengana (ndoa ya Kikristo). Hiyo ni kutokana na mume kuona haina haja ya kwenda mahakamani kwani ni kujidhalilisha tu. Ukweli ni kujidhalilisha maana kuna msemo wa kizungu unadai "YOU HAVE FAILES AS A MAN, IF ANOTHER MAN MAKES YOUR WOMAN HAPPY!." Mvurugano umetokea tarehe 26/09/2019 ambapo mume alimuita Baba Mkwe na kumuonesha ushahidi hasa wa walivyokuwa wakipigiana simu hata baada ya mume kungundua ambapo wakati mwingine walikuwa wakiongea akiwepo (hajui walichokuwa wakiongea).
Aliyesambaratisha ndoa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria na Idara ya Sheria za Uchumi. Mhadhiri ana shahada 4 za sheria ambazo ni
1. LLB ya UDSM
2. LLM ya UDSM
3. LLM ya Notre Dame
4. PhD ya UDSM
Mhadhiri ni Mpare akiwa kakulia Arusha ktk kijiji cha Lerai - Arumeru ambako nduguze bado wanaishi.
Mume anawatakia maisha mema iwapo wataendeleza uhusiano wa kimapenzi.
Bazazi!
Kama haijavunjwa na mahakama huyo bado mkewe with due consequences. Hata baada ya miaka ishirini akifa mkewe huyo atarithi mali zote zikiwemo zile alizochuma baada ya kutengana.Majuzi nilikuja na uzi huu
![]()
Ndoa Inavunjika Hiyo!
Waungwana, Bazazi kasimuliwa na mdau wake jinsi ndoa yake inavyoyumba. Kafumania simu ya mke ikiwa na sms za wasap na za kawaida. Anawasiliana na mpenzi wake wa pili baada ya kiwambo kuondolewa. Ni sms za mahaba hasa tena mazito. Mume kambana mkewe, mke hafunguki. Ana ahidi atavunja mawasiliano...www.jamiiforums.com
Ile ndoa ni kama imekwisha kwani wametengana (ndoa ya Kikristo). Hiyo ni kutokana na mume kuona haina haja ya kwenda mahakamani kwani ni kujidhalilisha tu. Ukweli ni kujidhalilisha maana kuna msemo wa kizungu unadai "YOU HAVE FAILES AS A MAN, IF ANOTHER MAN MAKES YOUR WOMAN HAPPY!." Mvurugano umetokea tarehe 26/09/2019 ambapo mume alimuita Baba Mkwe na kumuonesha ushahidi hasa wa walivyokuwa wakipigiana simu hata baada ya mume kungundua ambapo wakati mwingine walikuwa wakiongea akiwepo (hajui walichokuwa wakiongea).
Aliyesambaratisha ndoa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria na Idara ya Sheria za Uchumi. Mhadhiri ana shahada 4 za sheria ambazo ni
1. LLB ya UDSM
2. LLM ya UDSM
3. LLM ya Notre Dame
4. PhD ya UDSM
Mhadhiri ni Mpare akiwa kakulia Arusha ktk kijiji cha Lerai - Arumeru ambako nduguze bado wanaishi.
Mume anawatakia maisha mema iwapo wataendeleza uhusiano wa kimapenzi.
Bazazi!
Cha ajabu huyo mwanamke aliyeachwa na yeye atakuja na ule usemi wetu pendwa wa "all men are dogs"