Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,207
- 15,880
Acha kukariri dogo. Be a great thinker.
Hayo má single mother yenu si nyie wenyewe mmeyatengeneza?
Wewe ukizaa na mwanamke nje ya ndoa unataka mkeo akupongeze? Mkeo akijielewa atajipa raha mwenyewe huku anakutazama tu unavohangaika na malaya na vitoto unavyolea kwa remote![]()
![]()
.
Ukikua utanielewa..
Umetumia vigezo gani kuniita mimi dogo na kwamba nikikua nitaelewa?hapa yeyote anaweza kuandika uwongo anavyotaka na ndivyo ulivyofanya huko juu nimekusoma mahali umejificha ukisema una ndoa na watoto wakubwa ila ukweli ni wewe live bila kupepesa macho ni “singo mama” uliyekubuhu tena menopause inakaribia.
Wenye akili tunajua kama ungekuwa na ndoa usingeandika hapa eti wanawake msiolewe wala msizikimbilie ndoa so moja kwa moja unajaribu kuwaaminisha wazae hovyo kama ulivyozaa wewe ili mfanane akili.usipotoshe jamii kama usichana wako uliutumia vibaya usitake wenzako wafate njia zako mbovu.
au Ubazazi ndio umefanya kuyajua yote haya.
♂️