interegenciadick
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 698
- 1,094
Cha ajabu huyo mwanamke aliyeachwa na yeye atakuja na ule usemi wetu pendwa wa "all men are dogs"



sure..... UmenenaCha ajabu huyo mwanamke aliyeachwa na yeye atakuja na ule usemi wetu pendwa wa "all men are dogs"



sure..... UmenenaKwanini kutishana? Kwanini kufanyiana ubabe? Ndoa ni furaha, amani, uaminifu na zaidi ya yote ndoa ni upendo... Vikikosekana hivyo basi ubabe, kutishana na mwishowe talakaShida hii mkioana kipato kiwe sawa ndo haya,
Hakuna wa kumtisha mwingine......
yeah najua siku zinavyozidi kwenda na mambo mengi yanabadilika, pia kifikra na mtazamo ni mambo ya kawaidaHakuna nilichobadilika
Ni wewe umebadilisha the way unaniangalia/tafsiri
Malaya Ni Malaya tu.Halafu wanawaza kizamani eti kampiga chini.. Unampiga chini mtu mwenye hela yake? Ndoa kitugani buana Kama hakuna amani?? Full umalaya mwanaume anajiona hawezi kutii Kiapo cha ndoa, basi bora afanye kwa adabu,... Anafanya waziwazi..
Nasema hiviiii wanaume mjitathmini, enzi ya mwanamke kuitwa malaya imeisha... Endeleeni kuonea wanawake masikini au wale wasiojielewa.
Tuna mioyo ya nyongo pia Kama mkiamua kuwa wanandoa chepukeni kwa nidhamu tafadhali... Maana mkigeuziwa kibao hamchelewi kupata stroke
Mkuu hawa ndio wanajiita carrier women!!Aisee kwanini unafanya hizi baseless prejudgements hili tu kumtetea mwanamke mwenzio wakati kila kitu kimeshaelezewa hapo na sababu ni ukahaba tu wa huyo mwanamke?
Hakika hata mimi nashawishika kuamini huyo Linguistic ni promiscuous woman kwa jinsi alivyochangia tu hii madaMkuu hawa ndio wanajiita carrier women!!
Ni Malaya tuko nao maofisini humu wanajifanya nao wako sawa na wanaume
Kwa comments kama hizi naamini wewe utakuwa ni muachika au old cargo mmoja matata sana. Na furaha yako ni kuona wanawake wengi wanaishi maisha yanayofanana na yako.
Mkuu hawa ndio wanajiita carrier women!!
Ni Malaya tuko nao maofisini humu wanajifanya nao wako sawa na wanaume
Birds of the same feathers.Mi sijaachika na naunga mkono hoja yake.
maneno yako hayo ya sentesi ya Mwisho atakaye yafuata atapotea chunga sana hayo maneno yako na watu wenye maneno kama hayo sidhani kama wameolewa ndo unakuta ni hakimu au doctor hana Mme Kwa sababu ya ujuaji MwingiMfumo dume kuwa mwanamke hana mali. Yaan mwanamke akiolewa hata akiwa na kazi na anachangia pato la familia mchango wake huwa hauonekani...
Wanaoingia kwenye ndoa na wanafanya Shughuli ya kuwaingizia kipato lazima wawe makini na utaratibu wa kununua asset au uwekezaji wowote wa familia.
Tatizo mchango wa mwanamke unaishia chooni. Mbona wale wanaoishi wenyewe wanafanya maendeleo yao?!?
Mabinti muamke acheni kuabudu ndoa wakati wanaume hawaoni kama ni kitu muhimu katika maisha ya binadamu.
Me mwenyewe huyu,Dada nishaanza kumtilia Mashaka na huenda ameachika na anataka kila mdafa aachike na watakaofata ushuri wake imekula kwao,ndoa huwa hazina majivuno au maneno Makali Kama ya huyu DadaKwa comments kama hizi naamini wewe utakuwa ni muachika au old cargo mmoja matata sana. Na furaha yako ni kuona wanawake wengi wanaishi maisha yanayofanana na yako.
Kwahiyo wewe unajielewa sana?Huu upuuzi ndio unaowacost ukikutana na mke anayejielewa..
Kwenye ndoa watu wanaapa kuwa waaminifu to each other sasa wewe umetoa wapi ruhusa ya UZINZI?!!?? Bora Usioe vinginevyo unateseka tu.
Nnachojua wanawake kwa wanaume tunahitaji ndoa lakni wanaume wanadhani wanawake ndio wanapaswa kubembeleza ndoa hata kama ni ya manyanyaso na usaliti..
Badilikeni wanaume mnatuumiza Sana
duuh hapana huo ni uhuni tuu hakuna cha feeling wala nini hapa kama aljua hivo kwanini hakuwa mstari wa mbele kupigania ndoa yake na kama vilimshinda mbona hakuwa muwazi kumuambia mume wake kwamba hawezi ukaendelea na ndoa ...mwisho ni kwamba kwa mwanaume au mwanamke yeyote anayesingizia sijui mke wangu hivi na vile au mume angu hivi na vile me naona ni uasherati ..tafuta njia ya kutatua tatizo kama lipo kama haiwezekani kuwa muwazi sio kuanza mahusiano mengine na mtu wa nje na huku ukijua kabisa uko ndani ya ndoaOh Bazazi pole sana,
Ila saikolojia ya mapenzi wanaume wengi hawaitambui, huyo mwanamke sio kwamba anampenda yule mwanasheria ni mihemko tu na kuna feeling ya penzi jipya anaitamani maana kwa kweli kwenye ndoa ya kamuda karefu kuna vitu huwa kihisia vinapotea yanabaki mazoea zaidi.
Eheee!! Wanawake bwana! sasa kwani hujui ni nini kilichowaachanisha hao wanoongelewa kwenye hii mada? Au hujui ni nini kimewatenganisha na nani ambaye ni chanzo?Halafu nani anataka kuishi na mchepukaji? Kwani kilichowaachanisha hao ni nini?
Badilikeni mnaumiza sana wake zenu na kuwapeleka kwwnye maisha wasiyoyataka ...
Yaani huyo mwanamke jinsi alivyo divert maudhui ya hii mada na kuanza kuwatupia lawama wanaume anaonekani kabisa ni jike lililoshindikana na kuna muhuni ameliachia maumivu makali sana ambayo linaugulia mpaka leo.Hata nami nimemvumilia sana tu lakini nimehitimisha kuona anasumbuliwa na stress za kuwa single mother![]()
Basi you must be living in toxic marriage kwa hizi comments.Mkuu mie nimeolewa na bado nipo kwenye ndoa ya miaka mingi.... Lkn mara nyingi Kama hayajakukuta utaona Kama Unaishi paradise umezungukwa na malaika. Yakikukuta ndio unaona the other side of your spouse and the other side of marriage.
Na hii ni kwa wote mme na mke. Na ukiujua ukweli unakuwa huru na unaweza kuamua chochote kwa uhuru...
Moyo unageuka jiwe. Kua uyaone mkuu
Ndio maana mimi nasemaga nyie wanawake mliosoma na wenye career na mnaingiza vipato hamfai kuolewa hata kidogo.Halafu wanawaza kizamani eti kampiga chini.. Unampiga chini mtu mwenye hela yake? Ndoa kitugani buana Kama hakuna amani?? Full umalaya mwanaume anajiona hawezi kutii Kiapo cha ndoa, basi bora afanye kwa adabu,... Anafanya waziwazi..
Nasema hiviiii wanaume mjitathmini, enzi ya mwanamke kuitwa malaya imeisha... Endeleeni kuonea wanawake masikini au wale wasiojielewa.
Tuna mioyo ya nyongo pia Kama mkiamua kuwa wanandoa chepukeni kwa nidhamu tafadhali... Maana mkigeuziwa kibao hamchelewi kupata stroke
Naunga mkono hojaKwa comments kama hizi naamini wewe utakuwa ni muachika au old cargo mmoja matata sana. Na furaha yako ni kuona wanawake wengi wanaishi maisha yanayofanana na yako.
Mkuu aymatu mimi ni mke na mama wa watoto watatu wakubwa. Nna uzoefu katika ndoa, kuanzia kuwa mnyenyekevu, muoga na mwisho mjeuri coz hakuna jema.
So fikiri nje ya box. Uwe mkweli, wanaume mnaumiza sana wake zenu
Najua sio rahisi kuyaona na kuyajua mambo ya ndoa labda kwa umri mdogo lkn taratibu utaujua ukweli km ukiwa unayaangalia mambo UNBIASED