Cha ajabu huyo mwanamke aliyeachwa na yeye atakuja na ule usemi wetu pendwa wa "all men are dogs"
Dem women,Lord forgive dem...Cha ajabu huyo mwanamke aliyeachwa na yeye atakuja na ule usemi wetu pendwa wa "all men are dogs"
Tatizo wanaume anaona ye kufanya umalaya halali yake wkt wote mna kiapo cha uaminifuChanzo nini? Usikute mwanamke alishaichoka ndoa na kufanya mahusiano haramu waziwazi ni kutaka kulipiza kisasi. Ndoa zina majaribu makubwa. Mwanamke akifika mwisho wa uvumilivu anaona heri aondoke Kama anaweza kujikimu. Wanakaa kuvumilia wanaume malaya sio kwa kupenda wakati mwingine ni umasikini tu
Halafu wanawaza kizamani eti kampiga chini.. Unampiga chini mtu mwenye hela yake? Ndoa kitugani buana Kama hakuna amani?? Full umalaya mwanaume anajiona hawezi kutii Kiapo cha ndoa, basi bora afanye kwa adabu,... Anafanya waziwazi..Tatizo wanaume anaona ye kufanya umalaya halali yake wkt wote mna kiapo cha uaminifu
Inafika mda mke nafsi INACHOKA...
Ni either usiwe mnafki uvunje kama uyu mama
Au ufanye kimya kimyaa iwe ngoma drooo..ya nini uwahi kufa kisa mapenzi?..mnabaki mnalea watoto tu
Mhadhiri akianza ku **** mwingine na kumeacha sio!
Umetoka kuchepuka ww, hakyananii si kwa povu iliiHalafu wanawaza kizamani eti kampiga chini.. Unampiga chini mtu mwenye hela yake? Ndoa kitugani buana Kama hakuna amani?? Full umalaya mwanaume anajiona hawezi kutii Kiapo cha ndoa, basi bora afanye kwa adabu,... Anafanya waziwazi..
Nasema hiviiii wanaume mjitathmini, enzi ya mwanamke kuitwa malaya imeisha... Endeleeni kuonea wanawake masikini au wale wasiojielewa.
Tuna mioyo ya nyongo pia Kama mkiamua kuwa wanandoa chepukeni kwa nidhamu tafadhali... Maana mkigeuziwa kibao hamchelewi kupata stroke
Sio povu mkuu ndio ukweli huo. Wanaume kuchepuka kwenu bila staha mnawaumiza wake zenuUmetoka kuchepuka ww, hakyananii si kwa povu ilii
Nilivyoona hiyo comment nikamkumbuka mwalimu wangu mmoja hivi alikuwa mshikaji wetu sana enzi hizo uboyizini.
Aisee kwanini unafanya hizi baseless prejudgements hili tu kumtetea mwanamke mwenzio wakati kila kitu kimeshaelezewa hapo na sababu ni ukahaba tu wa huyo mwanamke?Chanzo nini? Usikute mwanamke alishaichoka ndoa na kufanya mahusiano haramu waziwazi ni kutaka kulipiza kisasi. Ndoa zina majaribu makubwa. Mwanamke akifika mwisho wa uvumilivu anaona heri aondoke Kama anaweza kujikimu. Wanakaa kuvumilia wanaume malaya sio kwa kupenda wakati mwingine ni umasikini tu
Kwa hiyo sululisho pekee ni kuchepuka tu na wewe ?Sio povu mkuu ndio ukweli huo. Wanaume kuchepuka kwenu bila staha mnawaumiza wake zenu