Ile ndoa imesambaratika!

Ile ndoa imesambaratika!

Majuzi nilikuja na uzi huu

Ile ndoa ni kama imekwisha kwani wametengana (ndoa ya Kikristo). Hiyo ni kutokana na mume kuona haina haja ya kwenda mahakamani kwani ni kujidhalilisha tu. Ukweli ni kujidhalilisha maana kuna msemo wa kizungu unadai "YOU HAVE FAILES AS A MAN, IF ANOTHER MAN MAKES YOUR WOMAN HAPPY!." Mvurugano umetokea tarehe 26/09/2019 ambapo mume alimuita Baba Mkwe na kumuonesha ushahidi hasa wa walivyokuwa wakipigiana simu hata baada ya mume kungundua ambapo wakati mwingine walikuwa wakiongea akiwepo (hajui walichokuwa wakiongea).

Aliyesambaratisha ndoa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria na Idara ya Sheria za Uchumi. Mhadhiri ana shahada 4 za sheria ambazo ni
1. LLB ya UDSM
2. LLM ya UDSM
3. LLM ya Notre Dame
4. PhD ya UDSM
Mhadhiri ni Mpare akiwa kakulia Arusha ktk kijiji cha Lerai - Arumeru ambako nduguze bado wanaishi.

Mume anawatakia maisha mema iwapo wataendeleza uhusiano wa kimapenzi.

Bazazi!
Mh hiyo profile mbona kama ya Dr Jesse
 
Its none of our business, sababu ndoa tulizonazo tu zatutoa makamasi, ndio tujali za wenzetu?! Huko ni kupoteza muda, waweza chekelea mwenzako kupata dhoruba kama hiyo halafu nawe ikaja ikakupata, sidhani kama utapenda tukiizungumzia mitandaoni, waacheni watajijuwa wenyewe, ule msemo, nyani hacheki kundule...
 
Tatizo wanaume wanajua wanawake wanatetemekea Sana ndoa..
Ndio maana mwanaume akioa tu anaanza kuchepuka bila woga na mke akilalamika anaambiwa atulie kwa kuwa ameshaolewa ana shida gani
☝️
PALE NDUGU KURUMBEMBE ALIYEPEWA TALAKA KWA AJILI YA UZINZI ANAPOTUMIA NGUVU NYINGI YA KUTAFUTA JUSTIFICATION YA UHUNI WAKE!!!
 
Kama haijavunjwa na mahakama huyo bado mkewe

Kama haijavunjwa na mahakama huyo bado mkewe with due consequences. Hata baada ya miaka ishirini akifa mkewe huyo atarithi mali zote zikiwemo zile alizochuma baada ya kutengana.
Huyo jamaa angeenda kupata ushauri kwa mwanasheria....siku moja isiyo na jina huyo mke atarudi tu..na kwa vile hakuna divorce or separation decree...basi bado ni mke halali.

Aibu aliyodhani anaikwepa kwa kutokupeleka maombi ya talaka mahakamani itamgharimu zaidi siku moja.
 
Harufu ya damu inamfurahisha MAGUFULI kakaa kimya utadhani Zanzibar Kuna sherehe
Screenshot_20201029-210120.jpg
Screenshot_20201029-200306.jpg
 
Back
Top Bottom