Ile ndoa imesambaratika!

Ile ndoa imesambaratika!

Huyo mume fwala tu hajitambui.unadukua simu ya mtu kwanini? Mwanamke anatongozwa kila siku.
Mbele ya mumewe? Miss Natafuta, fikiri upya. Lakini mume kwa kulijua hilo ndo akamruhusu atongozwe vizuri na Mhadhiri bila.kuwaza kama mume atagundua

Bazazi
 
Yaani huyu ni shida,yeye anataka afanye umalaya tu asiambiwe,akiambiwa basi ni kushindana nae! Mke wake atapata tabu sabsana a
Yaani huwa nawashangaa sana wanaume wengi wa humu kwa kukwepa ukweli mtu umeongea hiki yeye anaongea kile hawatakagi kuambiwa ukweli ndiyo maana wanaishia kuja na personal attacks kama hizo eti endeleeni kushindana na waume zenu kufanya umalaya, such a lame argument.
 
Hatujifanyi. Sisi nao ni watu kama wanaume. No more no less. Kuna wanaume malaya wengi tu maana umalaya ni tabia
Ha ha ha ha.
Wanaume hawakupewa muda wa kukimbizana na wekundu wa msimbazi.
Hiyo Ni tofauti ya milele ambayo haiwezi mfanya mwanamke akawa sawa na mwanaume!!
Ujue kutotaka kutimiza majukumu yenu Kama wanawake kunawatesa Sana!!
 
Na bila hiyo damu wewe usingekuwepo kabisa ungeishia kwenye kende kama mamilioni yanayomwagwa.
Na huwezi kulingana na walokubeba hata siku moja. Haipo.
Ha ha ha ha.
Wanaume hawakupewa muda wa kukimbizana na wekundu wa msimbazi.
Hiyo Ni tofauti ya milele ambayo haiwezi mfanya mwanamke akawa sawa na mwanaume!!
Ujue kutotaka kutimiza majukumu yenu Kama wanawake kunawatesa Sana!!
 
Singo mama ktk kiwango cha juu sana,mama yako angekuwa na akili kama zako leo ungekuwa wapi!
Acha kukariri dogo. Be a great thinker.

Hayo má single mother yenu si nyie wenyewe mmeyatengeneza?

Wewe ukizaa na mwanamke nje ya ndoa unataka mkeo akupongeze? Mkeo akijielewa atajipa raha mwenyewe huku anakutazama tu unavohangaika na malaya na vitoto unavyolea kwa remote 😂 😂 😂.

Ukikua utanielewa..
 
Back
Top Bottom