ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 8,738
- 21,005
Mbona gafla😅😅Ndiyo mi muongo ila uache sasa kunifata inbox kujiombelesha hela ya kula vinginevyo ta screenshot na taweka hapa hadharan
Mbona gafla😅😅Ndiyo mi muongo ila uache sasa kunifata inbox kujiombelesha hela ya kula vinginevyo ta screenshot na taweka hapa hadharan
Sawa, bc uwe na siku njemaWapo machoko fresh anatoa ndogo na bado ana family falasi ww
Kuna namna haupo Sawa kiakiliNdiyo mi muongo ila uache sasa kunifata inbox kujiombelesha hela ya kula vinginevyo ta screenshot na taweka hapa hadharan
Ni mpuuzi sn ila wkt mwngne baadhi ya wanawake wanajiharibia sn kwa kuweka njaa mbele wanapoteza na kukosa mambo mazuri toka kwa watu kisa njaa zao tu, wengi wamepoteza watu bora sn ambao wangekuwa msaada kwao kisa kutanguliza njaa mbele. Wengi wamekosa msaada kwenye shida za kweli sababu ya njaa mbele.Pole mkuu kwa kukutana na tapeli la mapenzi
Ibarikiwe asubuhi yako tafadhali
Ntahamaje Kwako baba mkwe wakat unanilisha vzr ili nipate nguvu ya kumkojoza Binti yako?Hama ukweni haraka sn
Unazo picha za mfumo huo nyingi huko kwenye simu yako ? Ikiwa unazo basi zitume PM nitakushukuru sana ila rasmi mimi na wewe tutakuwa washikaji sanaAmen kubwa sn
Tayana-wogDuh
🙌🙌
1st paragraph....☹️😒
leo dada bhanaUongo abaki nao hautuhusu.
Makubaliano ya wanaume ni kutokuhonga,,, aichape Bure apite hivi...
Anashindwa Nini kufanya vitendo akaleta mrejesho!. sisi hatutoi maoni yeye afanye vitendo aje na ushahidi.
Wabongo bhana 😂Unazo picha za mfumo huo nyingi huko kwenye simu yako ? Ikiwa unazo basi zitume PM nitakushukuru sana ila rasmi mimi na wewe tutakuwa washikaji sana
Mkuu wangu Mbaga Jr lini umeanza kuzungumza mapoint kama haya ?Wabongo bhana 😂
Badala uombe michongo, ww unaomba picha za upuuzi ambazo unaweza kuzipata mwnyw na simu yako.
Stress ni mbaya kuliko ccm..Kuna namna haupo Sawa kiakili
Sawa mkuuMkuu wangu Mbaga Jr lini umeanza kuzungumza mapoint kama haya ?
Na lini au saa ngapi ukadhani niko serious na hili?
Anyway sina haja ya mchongo kaka nilipo pananitosha nikishindwa kuishi basi ndugu zangu watanibeba kwa hali na mali .
Usirudie tena kumfokea kijana mwenzio kwenye mambo ya mahaba na utunduizi yakinifu juu ya mambo mazuri ya wanawake ,sawa ndugu yangu ?