Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,661
- 62,393
Hapana sijawahiHave you ever met any jf member?
Hapana sijawahiHave you ever met any jf member?
Wewe unashangaa hilo? Kuna watu hesabu zao zinasoma -50,000,000Habari zenu wakuu,
Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama[emoji28][emoji28]
zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu [emoji1316][emoji1316]
Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia[emoji28] na siku inaisha hivyo aisee.
View attachment 2874679
OK sawa,pole kwa wakati ule kuumwa tumbo,kichwan.kHapana sijawahi
Usinimbie bado unakumbuka mkuu😃😃..OK sawa,pole kwa wakati ule kuumwa tumbo,kichwan.k
Malizia hizo milion50 haelewi atazitoa wapi alipe deniWewe unashangaa hilo? Kuna watu hesabu zao zinasoma -50,000,000
Yaani anadaiwa million 50.
Kupata na kukosa siyo mwanzo au mwisho wa maisha, ni matukio tu.
Nakumbuka,pole.ushapona lakini. Nina swali gumu lwa Leejay ila nitamuuliza siku ingine.Usinimbie bado unakumbuka mkuu[emoji2][emoji2]..
Thanks anyways
Uliza tu usijekusahauNakumbuka,pole.ushapona lakini. Nina swali gumu lwa Leejay ila nitamuuliza siku ingine.
Halafu ukiwa na hela ndani hata kalaki unaweza kulala bila shida yoyote ila ngoja ufue sasaUtalalaje wakati njaa inauma?
Kama hujawahi kulala njaa hata siku moja mshukuru sana Mungu.
Mimi kwa miguu yangu nilienda kwa mama muuza maandazi, nikanunua matatu, nikala moja asubuh moja mchana moja usiku, mwendo wa maji tu, nilifanya hivyo wiki nzima, maisha muda mwingine yanatufundisha kwa namna ya pekee kabisa kiasi kwamba mtu akisema kuna hili huwezi kuamini mpaka uwe umepitia hiyo situationNi kwel, hata mm naelewa ugumu wa maisha ndo maana nimemuulza! mara nyingi mtu akileta thread ya hv nawazaga atakua labda ni graduate kapanga hana mazingira mazuri hv 🤔
We unasema maziwa ya unga? Mi na experience ya dhiki kuu nikikusimulia bendera itashushwa nusu mlingoti mtalia sana
Tajiri usiseme utawaliza wengiNi kwel, hata mm naelewa ugumu wa maisha ndo maana nimemuulza! mara nyingi mtu akileta thread ya hv nawazaga atakua labda ni graduate kapanga hana mazingira mazuri hv 🤔
We unasema maziwa ya unga? Mi na experience ya dhiki kuu nikikusimulia bendera itashushwa nusu mlingoti mtalia sana
pole mwaya auko peke ako
ila
davido[emoji28][emoji28][emoji28]
Yanasaulika ukipata pesa
Sio wewe pekee mkuu[emoji3061]
Uko serious mazee unalala njaa?
Atakuwa anatania bhana....Ina maana Hana rafiki ampe hata aftatu?
Ndio maana,ukiwa na chochote, ukiombwa kunjua mkono. Jiulize mtu anaepanga,kazi au mishe za kumuingizia zimegoma, bili anazoshea na watu zinakuja hana chochote; hapo jiko haliwaki au mama ntilie hawaonani. Badae unapita mtaani unakuta watu wamemwaga chakula aise.
Au mwenye nyumba, ni ya urithi, haelewi.
Yaone tu hivi,mwenye nacho kesho analia,asie na chochote,kesho kabalikiwa
In life,unatakiwa kuwa na rafiki Mmoja anayeweza kubeba shida zako,,huyo rafiki anaweza kuwa mmeshare blood labda sister au cousin lakini pia inawezekana akawa rafiki tu wa kawaida...
Ngoja nami nijaribu....ila mbeya hata usiwe na mia kama unaishi vyema na watu unaweza jikuta wagongewa kutwa nzima kuulizwa why umejifungia ndani....na ukashiba mpaka kesho