Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 16,964
- 54,532
Nakupa code sasa wahiHalf american ni kitindamimba wa mama yangu....hawezi nitupa
Nakupa code sasa wahiHalf american ni kitindamimba wa mama yangu....hawezi nitupa
ukipewa usisahau kushare nami si walisema Id yangu na yako ni mtu mmoja eh😅😅😅Kwamba niogope kusema Nina njaa,hapana...kwanza nikisema nitapata michango ya kutosha hapa hapa jukwaani..najua huwezi ninyima buku 10,Mr Deli Intelligent businessman hawezi ninyima buku5 Hapo Half american atanipa 20 yaani silali na njaa.
Dada mkubwa shikamooHalf american ni kitindamimba wa mama yangu....hawezi nitupa
😂Nakupa code sasa wahi
Endelea kuhamisha goalMchezo upi tena mkuu na jana tumekandwa na morocco😂
😂 tajiri najua utanikopa ili niwapeEndelea kuhamisha goal
Soon hali inakua tete ukiona kimya ujue nimeweka line kwenye simu ndogo 😁😂 tajiri najua utanikopa ili niwape
Mkuu asante sn mama.Kushare kitu jf ya miaka hii unadhihakiwa na kubezwa.Ni tofauti na Jf ya zamaniYeah ni kweli mkuu.. Pole Sana aisee, ukiona yameZidi Sana waweza share ili upate relief
Bora ulipata maziwa ya kulambaChangamoto ni nyingi kwenye maisha.
Unashangaa kulala njaa mkuu?
Ulishawahi kulamba maziwa ya unga siku nzima. Maisha haya acha tu sitaki kuongea mengi
Ni kweli,,,ila unaweza kusema kwa namna tofauti ili kulinda privacy yakoMkuu asante sn mama.Kushare kitu jf ya miaka hii unadhihakiwa na kubezwa.Ni tofauti na Jf ya zamani
Unaiuza sh ngapi hiyo niichukue?Soon hali inakua tete ukiona kimya ujue nimeweka line kwenye simu ndogo 😁
Ukiwa umefúlia hakuna wa kukupa hata hiyo pesa maana wote ushawakopaAtakuwa anatania bhana....Ina maana Hana rafiki ampe hata aftatu?
Siuzi! Weeeeh! Naipumzisha tuUnaiuza sh ngapi hiyo niichukue?
Jf ya zamani ilikuwa very helpful, hata ukiwa na shida unasaidiwa.Hii ya sasa ina namna yake.Ni kweli,,,ila unaweza kusema kwa namna tofauti ili kulinda privacy yako
KwakweliJf ya zamani ilikuwa very helpful, hata ukiwa na shida unasaidiwa.Hii ya sasa ina namna yake.
Pole kwa majukumu hapo.
Asante,Mungu ni mwema tunasonga hata katika hali ya ugumu.Umekua very popular though umejiunga mwaka jana tu humu.Why?Kwakweli
Asante,, pole na wewe pia kiongozi
Uza tajiri utanunua mpyaSiuzi! Weeeeh! Naipumzisha tu
Ni vyema.. I don't know why 🤷🤷Asante,Mungu ni mwema tunasonga hata katika hali ya ugumu.Umekua very popular though umejiunga mwaka jana tu humu.Why?
Have you ever met any jf member?Ni vyema.. I don't know why![]()