that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 386
- 1,247
Habari zenu wakuu,
Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama

zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu

Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia
na siku inaisha hivyo aisee.
Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama


zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu


Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia
na siku inaisha hivyo aisee.