that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 386
- 1,247
Habari zenu wakuu,
Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama[emoji28][emoji28]
zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu [emoji1316][emoji1316]
Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia[emoji28] na siku inaisha hivyo aisee.
Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama[emoji28][emoji28]
zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu [emoji1316][emoji1316]
Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia[emoji28] na siku inaisha hivyo aisee.