Ila maisha

Ila maisha

Lakini mkuu,kumbuka,japo shida hazina umetokea wapi,nadhani mtoa mada ameongelea wale hasa mipango haiko sawa,ila walikuwa na lamani au wengine ndo hivyo wametelekezwa.
Hao unaowaongelea binafsi siwachukulii hivyo,japo haiondoi kuwa na wao ni viumbe hai. Mtu kazamia tu,kisa aishi mjini. Haendi kwa ndugu,haendi kufanya kazi yoyote,haenda kwa ajiri ya mchongo, ni yeye tu hataki kuishi kijijini(au wanaoishi maisha ya kuiga).
Jiulize kwa nini watu wazima wakifikia umri flani,mjini wamejenga,ila wanahamia vijijini!
Bahati nzuri ni kwamba hata Marekani inayojisifu kwa kuendelea na hawa watu,inao. Ila,shughuli ndogo ndogo tunazodhalau nankuchukulia poa,zinawainua wengi.
Sasa mjini una shida na milioni,kodi tu. Wa kijijini ana shida na laki moja ya ku hukulia mzigo wa biashara. Hawa watu wawili si tofauti?
Mkuu Tumshukuru Mungu kwa Yote,
Tumshukuru kwa kibali cha maisha anayotujalia,
Na zaidi sana Tumshukuru kwa zawadi ya uhai na afya anayotukirimia kila siku bure...

Ni kwa Neema na Baraka za Mungu tunaishi maisha tunayoishi, na saa zingine ni kwasababu ya kiburi na tamaa zilizotutenganisha nae na kusahau kumshukuru...

Tumuombe atujalie moyo wa kumshukuru na atuepushe na laumu huenda ndio nusra yetu 🐒
 
Habari zenu wakuu,

Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama

zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu

Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia na siku inaisha hivyo aisee.
View attachment 2874679
Davido ajitafakari sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kweli hilo bundle si angekula mihogo
Eleeeeee,
-ukiwa na njaa kali,na hauoni ramani,akili haifanyi kazi.
  • unajiongelea nahisi tu,hujakumbana na hii hali. Kila unachogusa,kinateleza.
  • ukute na hiyo bundle,mwingine ana mkopo wa Nipige tafu,unakumbuka una laini nyingine,unaiweka uchukue basi vocha ya jero. Badae unagundua na ile vocha,umeiweka kwenye laini yenye mkopo. Huku ulijua labda ungeweza kuwasiliana na washikaji upate hata buku 2
 
Kwamba niogope kusema Nina njaa,hapana...kwanza nikisema nitapata michango ya kutosha hapa hapa jukwaani..najua huwezi ninyima buku 10,Mr Deli Intelligent businessman hawezi ninyima buku5 Hapo Half american atanipa 20 yaani silali na njaa.
Ukiwa real mbona unasaidika vizuri kama ww tunamuachia jukumu Half american maana kapokea hela ya mchezo juzi😂 walikua wanatoa laki kwa wiki walianza mwezi wa sita
 
Habari zenu wakuu,

Nimekaa hapa natafakari nikagundua kuna situations kama hazijakukuta huwezi ukaelewa ukisikia mtu analalama

zamani nilikua nikisikia mtu analalamika hana hata mia naona kama anazingua haiwezekani but now i know na naelewa kumbe ni kawaida tu

Nimeamka tangu asubuhi sina hata mia na siku inaisha hivyo aisee.
View attachment 2874679
Ukiona maisha yanakuzingua una achana nayo unafanya mishe zingineee...
 
Back
Top Bottom