Lakini mkuu,kumbuka,japo shida hazina umetokea wapi,nadhani mtoa mada ameongelea wale hasa mipango haiko sawa,ila walikuwa na lamani au wengine ndo hivyo wametelekezwa.
Hao unaowaongelea binafsi siwachukulii hivyo,japo haiondoi kuwa na wao ni viumbe hai. Mtu kazamia tu,kisa aishi mjini. Haendi kwa ndugu,haendi kufanya kazi yoyote,haenda kwa ajiri ya mchongo, ni yeye tu hataki kuishi kijijini(au wanaoishi maisha ya kuiga).
Jiulize kwa nini watu wazima wakifikia umri flani,mjini wamejenga,ila wanahamia vijijini!
Bahati nzuri ni kwamba hata Marekani inayojisifu kwa kuendelea na hawa watu,inao. Ila,shughuli ndogo ndogo tunazodhalau nankuchukulia poa,zinawainua wengi.
Sasa mjini una shida na milioni,kodi tu. Wa kijijini ana shida na laki moja ya ku hukulia mzigo wa biashara. Hawa watu wawili si tofauti?