mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Nimekaa nikatafakari sana, zile Salute, protocals, mashabiki, misafara, ving'ora, amri leo vyote vimezimika gafla kama mshumaa, hawezi kuamrisha tena, hawezi kutoa maagizo kwa yeyote zaidi ya familia yake, hana wa kumgombeza tena, kwa ufupi Gambo hapo alipo ni mwananchi wa kawaida kabisa kama ulivyo wewe msomaji wa Thread hii, hana previlage tena, vipaumbele vimetoweka gafla.
Hapa nimekuja kuamini, busara, utu, ukarimu, hekima, heshima ni vitu vya muhimu sana kwa yeyote yule atakaye pata mamlaka
Mamlaka ni ya muda tu ..Ishi na watu vizuri.
Hapa nimekuja kuamini, busara, utu, ukarimu, hekima, heshima ni vitu vya muhimu sana kwa yeyote yule atakaye pata mamlaka
Mamlaka ni ya muda tu ..Ishi na watu vizuri.