Ikulu zetu za Afrika Mashariki

Ikulu zetu za Afrika Mashariki

Jiandae kisaikolojia maana hakuna namna lazima nipokee kijiti toka kwa Mtakatifu,Mheshimiwa Dr Magufuli.Kauli mbiu yangu "Tuirejeshe Tanzania katika mstari sahihi".Halafu nusu ya baraza langu la mawaziri ni wanawake ile nusu kwa nusu itaonekana katika utawala wangu kwahiyo kama una binti yako mpeleke shule nafasi zitakuwa kibao.Fikiria Mikoa,Wilaya zote bado mashirika ya umma kote huko 50 kwa 50.


[emoji106] [emoji122] [emoji122]
 
Tanzania
ff76State-House-Tanzania.jpg


P1010598-b-615x435.jpg
Tz ipo poa bonge la Castle lama kwa Mama...
 
Back
Top Bottom