EACOP: Bomba la mafuta la Afrika Mashariki

EACOP: Bomba la mafuta la Afrika Mashariki

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
631
Reaction score
563
Thamani: USD Bilioni 3.5+ | Urefu: Km 1,443

Kwa Tanzania ni fursa ya ajira, biashara, mapato, uwekezaji na kuimarisha nafasi yetu kama lango la nishati Afrika Mashariki.
HRG9CziXMAAs_OC.jpg
 
BOMBA LA MAFUTA LA EACOP

▪︎Thamani ya Mradi: USD bilioni 3.5+ |

▪️Urefu wa Bomba: 1,443 km

▪️Mradi huu una maana gani kwa Tanzania?

▪️Miundombinu mikubwa ya nishati

▪️Ajira na biashara mpya

▪️Mapato ya kodi na shughuli za biashara

▪️Kuimarika kwa nafasi ya Tanzania kama energy gateway

▪️Kuongezeka kwa biashara ya kikanda
IMG-20260901-WA0034.jpg
 
Back
Top Bottom