Ikulu zetu za Afrika Mashariki

Ikulu zetu za Afrika Mashariki

Naskia ya korea kusini inaitwa blue house, sasa sjui ni ya blue embu ngoja nigugu.

Hii ndiyo BLUE HOUSE MKUU UKULU YA NORTH KOREA.
ImageUploadedByJamiiForums1469095386.111164.jpg
 
Naama inchi.

Jiandae kisaikolojia maana hakuna namna lazima nipokee kijiti toka kwa Mtakatifu,Mheshimiwa Dr Magufuli.Kauli mbiu yangu "Tuirejeshe Tanzania katika mstari sahihi".Halafu nusu ya baraza langu la mawaziri ni wanawake ile nusu kwa nusu itaonekana katika utawala wangu kwahiyo kama una binti yako mpeleke shule nafasi zitakuwa kibao.Fikiria Mikoa,Wilaya zote bado mashirika ya umma kote huko 50 kwa 50.
 
Jiandae kisaikolojia maana hakuna namna lazima nipokee kijiti toka kwa Mtakatifu,Mheshimiwa Dr Magufuli.Kauli mbiu yangu "Tuirejeshe Tanzania katika mstari sahihi".Halafu nusu ya baraza langu la mawaziri ni wanawake ile nusu kwa nusu itaonekana katika utawala wangu kwahiyo kama una binti yako mpeleke shule nafasi zitakuwa kibao.Fikiria Mikoa,Wilaya zote bado mashirika ya umma kote huko 50 kwa 50.

Ata Edward alikuwa na mawazo Kama yako.
 
Za kenya na uganda hazina muonekano wa kipekee hayo majengo hata kwenye taasisi za kawaida mengi tu aaah!!
 
Ya Bongo iliwahi kuungua moto, chanzo ni pasi (sijui ya umeme au ya mkaa)
 
Ata Edward alikuwa na mawazo Kama yako.

Mimi na Edward tofauti kabisa,yeye aliutaka uRais kwa udi na uvumba mimi wazee wameniomba,wamenibembeleza wakati siutaki uRais ila kwakuwa naheshimu maombi ya wazee nimeona ni vyema nikamwacha Mheshimiwa,Mtakatifu Dr Magufuli akamaliza vurugu zake zote nikiingia nikuirejesha nchi katika utawala wa sheria,kanuni na taratibu si kila siku kutumbua majipu.

Ndani ya utawala wangu Tanzania itaingia katika uchumi wa kati na kupitia rasimali zetu wenyewe nitahakikisha bidhaa nyingi zinazalishwa hapa nchini na magari mengi yanatumia gesi badala ya petrol au diesel (nitapandisha kodi ya mafuta),umeme utakuwa wa uhakika na bei nafuu sana kiasi watu wataacha kutumia kuni badala yake majiko ya umeme yatatumika bila taabu.

Majeshi ya magereza & JKT(litajiendesha lenyewe) litatumika kuzalisha kupitia wafungwa na vijana waliomaliza elimu ya juu.
 
Iv kuna watu wanaoish ikulu tofaut na rahis mbona jengo kubwa sana
 
Kwa hapo naona mpangilio wangu upo hivi
1. Kenya
2. Tanzania
3. Uganda
 
Mimi na Edward tofauti kabisa,yeye aliutaka uRais kwa udi na uvumba mimi wazee wameniomba,wamenibembeleza wakati siutaki uRais ila kwakuwa naheshimu maombi ya wazee nimeona ni vyema nikamwacha Mheshimiwa,Mtakatifu Dr Magufuli akamaliza vurugu zake zote nikiingia nikuirejesha nchi katika utawala wa sheria,kanuni na taratibu si kila siku kutumbua majipu.

Ndani ya utawala wangu Tanzania itaingia katika uchumi wa kati na kupitia rasimali zetu wenyewe nitahakikisha bidhaa nyingi zinazalishwa hapa nchini na magari mengi yanatumia gesi badala ya petrol au diesel (nitapandisha kodi ya mafuta),umeme utakuwa wa uhakika na bei nafuu sana kiasi watu wataacha kutumia kuni badala yake majiko ya umeme yatatumika bila taabu.

Majeshi ya magereza & JKT(litajiendesha lenyewe) litatumika kuzalisha kupitia wafungwa na vijana waliomaliza elimu ya juu.

Sawa ngoja nisubiri nione mkuu japokuwa sina imani na ww.
 
Back
Top Bottom