king of zodiac
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 311
- 432
Ya kenya na uganda utafikiri shule za secondary [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nakusubiri mkuuNaskia ya korea kusini inaitwa blue house, sasa sjui ni ya blue embu ngoja nigugu.
hahaaa dahya tz kama misikiti ya wahindi
Hiyo ni bendera ya Rais. Anapokuwepo na hiyo inakuwepo. Ukiiona hiyo ujue Mkulu wa wadanganyika yupo maeneo hayo, yupo kitaa.Hii picha ya lini?
Naona kama hiyo ni bendera ya Chama fulani, kama ni kweli kwa nini isiwe ile ya wote?
Hiyo ni bendera ya Rais. Anapokuwepo na hiyo inakuwepo. Ukiiona hiyo ujue Mkulu wa wadanganyika yupo maeneo hayo, yupo kitaa.
Link Tanzania: President
Link2. Tanzania Presidential Flag
Ile ya wadanganyika wote, ndio hiyo ingine.
Link Tanzania Flag colors - meaning of Tanzania Flag
Usishangae, Kule Zanzibar , Rais wa nchi ya Zanzibar pia ana bendera yake , tofauti na bendera ya Zanzibar.
Hapa utaziona hizo vipambio. Link Zanzibar (Tanzania)
Unafagilia majengo ya mkoloni????kenya. very classic.
![]()
![]()
View attachment 368471
Hii picha ya lini?
Naona kama hiyo ni bendera ya Chama fulani, kama ni kweli kwa nini isiwe ile ya wote?
Ya Tanzania ni nzuri zaidiYa kenya ipo vizuri Archtect yake..kam Mbele
Dead [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia Burundi Ikulu yao ni nyumba ya kupanga ya mtu binafsi je kuna ukweli wowote hapo?
Dead [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ya kenya inaitwa jina la utani Harambee secondary school
Hapana hyo ni bendera ya raisView attachment 368471
Hii picha ya lini?
Naona kama hiyo ni bendera ya Chama fulani, kama ni kweli kwa nini isiwe ile ya wote?
Unafagilia majengo ya mkoloni????
I hope kuna siku nitafanya kazi kama mkuu wa nchi hapo magogoni labda 2025 baada ya Mheshimiwa,Mtukufu Dr Magufuli kumaliza muda wake.