IKULU mkianzisha Wizara ya Gender, basi mpeni Ndalichako, ateuliwe Mtu Mwamba kwenye Elimu.

Hivi vyuo vikuu siku hizi kuna watu wenye commitment na mawazo chanya kama walivyowahi kupatikana kina Mark James Mwandosya, Prof. Benno Ndulu, Dr. Philip Mpango, Prof. Costa Mahalu, Prof. Kabudi? Au watu wazima waliokuzwa kwenye system na kuwa na exposure na hekima kama kina Dr. Augustine Philip Mahiga, Matern Lumbanga(Balozi), Rose Migiro na Balozi Sefue?
Kuna balozi wetu wa sasa China Bwana. Mbelwa Kairuki, naona kama akili zake zina full betri. Ateuliwe kuwa mbunge then apewe waziri wa Elimu.
Bahati mbaya karibu wote hao uliowataja kuwa walikuwa wasomi mahiri, wamehusika kuingia mikataba ya kimangungo, Kama huyo Prof.mwandosya Hadi unajiuliza huo usomi ni kwa ajili gani ikiwa mikataba tu wanashindwa
 
Bahati mbaya karibu wote hao uliowataja kuwa walikuwa wasomi mahiri, wamehusika kuingia mikataba ya kimangungo, Kama huyo Prof.mwandosya Hadi unajiuliza huo usomi ni kwa ajili gani ikiwa mikataba tu wanashindwa
Nimesema Mbelwa Kairuki anaweza kufit kwa nionavyo sasa. Mbona kama vile watu smart na wenye commitment nchi hii hawaonekani kabisa. Ukijaribu kutafakari, huwaoni hata ukifumba macho. Kuna mahali tulikosea. Kama vile watu wengi wameamua kuficha vipaji.
Hata marais wajao hawaonekani kabisa.
Tuwe makini sana katika kujenga watu potential kwa Taifa kwa siku zijazo.
 

Huyu mama uprofesa wake sijui aliupata kwa lugha gani maana kiingereza kinampa shida kweli kweli.

Hakika anapwaya mno kwenye nafasi yake.
 
hahahahaha, Ndalichako Profesa arudi kupiga lecture tu pale UDSM....hii wizara apewe Babu Tale au Mzee wetu Kishimba..ikishindikana kabisa apewe Dr Msukuma....

Miaka yote tumekuwa tukiweka wasomi bilabila sasa hebu tujaribu lasaba B tuone, wakishindwa basi tutaketa Mzungu kutoka London..
 
Waziri na Katibu Mkuu wake.

Intellince Service nao watafakari na kushauri hili jambo.
 
Nimesema Mbelwa Kairuki anaweza kufit kwa nionavyo sasa. Mbona kama vile watu smart na wenye commitment nchi hii hawaonekani kabisa. Ukijaribu kutafakari, huwaoni hata ukifumba macho. Kuna mahali tulikosea. Kama vile watu wengi wameamua kuficha vipaji.
Hata marais wajao hawaonekani kabisa.
Tuwe makini sana katika kujenga watu potential kwa Taifa kwa siku zijazo.
Utaona vipi vipaji ikiwa kigezo cha watu kushika madaraka ni kuangalia ubini wao,,, utaskia “Mzee xxx ambaye ndio babaake na huyu bwana alikipigania sana chama enzi zile hatuwezi kulisahau hilo” mara paaka kijana wake anapewa uwaziri!

Bila huu ujinga wa kuwekana madarakani kwa fadhila hatutasogea kama taifa sababu trend itaenda vile vile akina Jakaya wakishaondoka maana walioachiwa chama kizazi chao kitaendelea kuwaweka watoto wao tu! Si upumbavu huu!
 
Maajabu umutoe mchapakazi uweke Mulamula?
Msoga gang bado mna kinyongo na Ndalichako alipogomea div.5.
Muondoeni tu muwekeni Redhiwani.
 
Nchi hii kuna kichwa kimoja tu kinachofanya kazi kwa kujiamini. Prof Asad, wengine ni kunguni tu
 
Profesa Kapuya nampendekeza kwenye hiyo wizara ya jinsia.:rolleyes::oops:
 
Back
Top Bottom